Ushauri wenu jamani

Wakanda2021

Member
Apr 27, 2013
70
8
Nina mchumba ambaye nimekuja kugundua kuna m'ke mwenye watoto wa3 anaishi naye.Nikambana sn na kumweleza nimelifahamu kwa njia gn,alikataa badae akakubali na kuniomba msamaha na kuanza kunieleza kuwa yule ni m'ke tu anaishi naye na amemkuta na watoto wake na yuko tayari huho m'ke kumwambia nataka kuoa muda wowote na akamuelewa.Naombeni ushauri kuhusu hili,je,nimsamehe kutokana na maelezo yake au hana uaminifu nimsahau tu ktk maisha yng.
 
wewe unataka kulazimisha kupendwa wewe amini usiamni huyo mbaba hakupendi anampenda mkewe
 
Huhitaji elim kujua kuwa huyo c wako. Shukuru Mungu hujafumaniwa maana na ngeo ungekuwa nayo... Anza upya hakufai kabisaaaaaaaaaaaaaa!

Asante kwa huo ushauri lkn kiukweli hana mke na wala hajaoa s'bu nilienda nikaonana na huyo m'ke na akanieleza vzr tu ukweli wote labda cha kufanya ni mm nimpotezee kwan ameshavunja uaminifu kwangu.
 
wewe unataka kulazimisha kupendwa wewe amini usiamni huyo mbaba hakupendi anampenda mkewe

Hana mke na wala hajaoa mana huyo m'ke nilionana naye na tukaongea mengi tu labda ungeniambia mm nimpotezee tu mana kashavunja uaminifu kbs
 
Haya mahusiano sijuwi huwa yanakanuni? Au labda huwa tunabahatisha tu kuwa sehemu sahihi? Mi huwa sina jibu kuhusu haya mahusiano, kwani we mdada kutoka moyoni mwako umeamuwa kipi na ukishikilie kwa nguvu zote usikiachie
 
Mtu mzima unadanganywa hata hustuki? Mtu ana mkewe alafu amuache akuoe wewe subutuuuu

Uhusiano wowote unaoanzia na uongo si wa kweli.....angekua anakupenda kweli asingekuficha kuwa ana mke anaishi nae

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Sidhani kama kuna ushauri hapa unaohitajika maana ukweli umeupata kilicho baki ni maamuzi tu kusuka au kunyoa
 
Back
Top Bottom