Wasimbe ngoja leo niwakumbushe kidogo, msisahau mlipotika, tiririka na shairi [emoji1484]
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali,
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili,
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali,
Wakataka na kauli iwafae maishani.
2. Akatamka mgonjwa, ninaumwa kwelikweli,
Hata...