Acha kujidanganya hakuna mapenzi ya aina hiyo haswa kwa watanzania, ebu jenga picha kuwa hupendi kabisa wanawake wanene na yeye alikuwa mwembaba but ndani ya miaka nane amezaa na amekuwa mnene saaana utafanyaje?? au kama kajikoboa ana adonda usoni na miguuni je?? acha ujinga wa kupenda usichoona...
wewe unaonekana live kuwa hujui kuvumilia na kuwabembeleza hawa ma dada zetu!! jaribu kumjengea mazingira ya yeye kushawishika na kuhitaji kufanya sex na sio wewe ndo uwe muhitaji sana kwa bikra, hapo ndo utafaidi but ukiwa muhitaj wewe kwa sana unaweza ukaitoa kabla hata ujamgusa, soo take care!!
si wanawake wote wana maji, but mara nyingi mazingira na aina ya maji ka kunywa au kuoga huchangia hii, ndo maana wa kule ndo wanayo saana, ni kama wachaga wanavyooza meno kutokana na maji ya kule milimani,,,,,,
hii si maana halisi ya MALAYA. mala ya ni mwanamke au mwanaume na ni tabia ya mtu, maana ya malaya ni kuwa
na mpenzi zaidi ya m moja au kubadilisha wapezi ovyo
miaka 20 - 26
asiwe nao
asiyeolewa
yoyote ila awe na upeo wa maisha na kujitambua
vyovyote na akiwa bikra iwe orginal sio ya malimao na vim
NK> awe na mwonekano mzuri na tabia / maadili ya kitanzania!! asiwe mnene wala mwembamba saaana
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.