Naogopa kuolewa...

Naogopa kuolewa...

Kama unaogopa kuolewa si Uowe wewe???
In my opinion you are not a wife material, n namuhurumia huyo kijana coz atakuwa "2nd Husband" kwa mjibu wa maelezo yako! ukisikia ndoa zinazofungwa jioni then zinavunjika hasubuhi ndo kama hizi!


(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza ntawaacha pekee...ntakimiss chumba changu n all the good things about home...my dad n mum treats me like a little child...while am a big girl working...26 yrs old.kazi zoote naweza meaning I can take care of others n myself coz kwa suala la kufanya kazi za nyumbani mama haendekezi ujinga...okey huu ndo umri wa kuolewa na nina boyfriend tunapendana and he fits to be my husband. .na yy anaona m the perfect wife material for him...tuko pamoja tangu chuo....hofu inakuja kuondoka kwetu na kwenda kuishi na mtoto wa mwanamke mwingine..aliyelelewa kwa malezi wanayoyajua wao....kazi itakuja pale atakapoonyesha true colours ndani ya ndoa...muda si mrefu atataka kupropose as nnaona dalili na ananipenda mnoo AS ameacha kazi mkoani na kuamua kuja kufanya kazi mkoa ninao ishi mimi ...my sistas wananiuliza unaolewa lini wewe..coz nna kazi nzuri.....nishaurini mwenzenu..wenzangu mlio ndoani...*****)MANENO YA BIDADA CLASSMATE WANGU
 
Faida za kuolewa

1. Utakuwa na uhakika wa " Dushelele" kila siku.

2. Utapunguza gharama za mawasiliano na huyo jamaa yako.

3. Ndoa inaongeza heshima ktk jamii. Huku kwetu kuna vikai vya kifamilia hauwezi shirki kama haujaoa.

4. Itakuondolea " dhambi" ya ZINAA

5. Utaongeza idadi ya ndugu.

6. Utapunnguza ghama za gesti.

n.k

Changanya na zako.
 
Mmmh! Mbona kama vile hujaridhika kuwa na huyo kaka!!?
ewaaa, hapo umegonga mule mule..., hajaridhika na huyo kaka, wala sio umri, oh sijui sitaki kuwaacha wazazi... blabla... Hakika akimpata anaempenda kweli kweli hatajiuliza hilo swali. ataililia hiyo ndoa ili asiwe mbali nae kila siku.
 
Huo ni utoto unakusumbua (ndiyo, kuna watoto wana miaka 30, 40 n.k) Kama vipi oa wewe?
 
Jifunze kuwacha wazazi na kwenda kuanza maisha yako mwenyewe.Hilo ni tatizo la kisaikolojia kuona kwama uwezi kuwaacha wazazi.Kwa umri uliofikia hata kama wanakupenda na wanakuona kama yai, lazima na wewe ufikirie kuja kuwa na familia yako.Huu ndio mda mzuri kwako kupanga kuolewa na umpendaye kwa dhati na kuanzisha maisha yenu wawili.Baba na Mama siwapo, watatunzana mpaka Mungu akapoamua vingine ndio manake wapo wawili au kama umeamua kubaki kwa wazazi wako well and good,fikiri na wewe ukifika 50yrs upo peke yako hunawakufa na kuzikana itakuwaje.Maisha ni yako na wewe ndio mwenye uamuzi wa mwisho.
 
Faida za kuolewa

1. Utakuwa na uhakika wa " Dushelele" kila siku.

2. Utapunguza gharama za mawasiliano na huyo jamaa yako.

3. Ndoa inaongeza heshima ktk jamii. Huku kwetu kuna vikai vya kifamilia hauwezi shirki kama haujaoa.

4. Itakuondolea " dhambi" ya ZINAA

5. Utaongeza idadi ya ndugu.

6. Utapunnguza ghama za gesti.

n.k

Changanya na zako.
Mkuu uko sahihi, ila sijakupata vizuri hapo kwenye namba 6.
 
huyo bado hayuko tayari. Akiwa tayari hatauliza mtu.
 
(**nikikaa nikifikiria swala la kuolewa huwa nakosa raha..nawaza kuwaacha wazazi wangu...mimi ni mtoto wa mwisho..na nyumbani tumebaki mimi., baba na mama...wengine woote washaoa na kuolewa.nawaza ntawaacha pekee...ntakimiss chumba changu n all the good things about home...my dad n mum treats me like a little child...while am a big girl working...26 yrs old.kazi zoote naweza meaning I can take care of others n myself coz kwa suala la kufanya kazi za nyumbani mama haendekezi ujinga...okey huu ndo umri wa kuolewa na nina boyfriend tunapendana and he fits to be my husband. .na yy anaona m the perfect wife material for him...tuko pamoja tangu chuo....hofu inakuja kuondoka kwetu na kwenda kuishi na mtoto wa mwanamke mwingine..aliyelelewa kwa malezi wanayoyajua wao....kazi itakuja pale atakapoonyesha true colours ndani ya ndoa...muda si mrefu atataka kupropose as nnaona dalili na ananipenda mnoo AS ameacha kazi mkoani na kuamua kuja kufanya kazi mkoa ninao ishi mimi ...my sistas wananiuliza unaolewa lini wewe..coz nna kazi nzuri.....nishaurini mwenzenu..wenzangu mlio ndoani...*****)MANENO YA BIDADA CLASSMATE WANGU

Me sijaoa ningekushauri but umetaka wakushauri waLIO KWENYE NDOA TU
 
Faida za kuolewa

1. Utakuwa na uhakika wa " Dushelele" kila siku.

2. Utapunguza gharama za mawasiliano na huyo jamaa yako.

3. Ndoa inaongeza heshima ktk jamii. Huku kwetu kuna vikai vya kifamilia hauwezi shirki kama haujaoa.

4. Itakuondolea " dhambi" ya ZINAA

5. Utaongeza idadi ya ndugu.

6. Utapunnguza ghama za gesti.

n.k

Changanya na zako.
ewaaaaa hapo kwe kupunguza gharama za gesti nimepaelewa mkuu
 
Back
Top Bottom