Bora uwe na elimu kuliko msomi... Hata biblia inasema itafute sana elimu isije ukaiacha iende zake... Ukielimika unapata kuwa huru sana wakutambua mambo mengi...
Hapo zamani hakukuwa nahayo maspika naneno LA mungu lilikuwa linapenya ndani ya mioyo ya watu.. Lakin skuiz makelele ndio mapepo yatoke.... Vizazi vya nyoka vivyo saiv ujanja ujanja tu... Mbinu yakupata utajiri.. Naakipata anaanza kumshukuru mungu kwa kumpa utajiri badala yakuwashukuru wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.