Recent content by Wahee

  1. W

    ICJ haideal na kesi ya kuibiwa kura

    Mbona kote mlikoshinda KURA hazijachakachuliwa.NA KAMA UCHAGUZI si halali Mbona mbowe NA mbatia hawajiuzulu nafasi zao kuping matokeo?
  2. W

    Ukimya wa Lowassa

    Kweli lowasa kakaakimya kwa sababu zifuatazo1.Hata pale alipopewa nafasi ya kuongea alikua hawezi kuongea 2.Ana machungu ya kushindwa 3.wajanja wamekula fedha zake .#
  3. W

    Lubuva kushitakiwa mahakama ya Tanzania

    Pale mnaposhinda haki imetendeka mkishindwa mmeibiwa akili zenu ndogo
  4. W

    ICJ haideal na kesi ya kuibiwa kura

    Wanaukawa waislamu NA wakristo KAMA mngewaamini MUHAMAD NA YESU KRISTO KWA KIWANGO MNACHOMWAMINI MBOWE MGEKUA WATU WA PEPONI.KILA MNACHOAMBIWA MNAKUBALI BILA KUTUMIA AKILI ZENU.ACHENI KUDANGANYWA .
  5. W

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Je HII mahakama inafanya kazi kwa siku maana naona wameenda juzi sijui ni lini wamefungua shauri likapokelewa wakawasilisha hoja .ninavyoelewa nyara za mahakama zakuitwa shaurini huwa mtu haambiwi njoo kesho mahakamani ANAPEWA muda wa kukusanya nyaraka zake za utetezi.naanza KUA NA wasiwasi
  6. W

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Je HII mahakama inafanya kazi kwa siku?
  7. W

    CCM: Wanachama, wapenzi na mashabiki

    Kinana kiongozi makini ndio amehuisha ccm NA kuweka hapo ilipo leo lau KAMA si juhudi za ke binafsi alitembea kila. Kijiji tanzania akinadi chama.amesimamia kampeni za ccm kwa umakini mkubwa NA ustadi.binafsi nampongeza.
  8. W

    Here we are

    Nasikia raaaaha wabunge 188+dhidi ya 50+halafu urais eti ukawa wameshinda si kicheko hicha.hapa kazi tu
  9. W

    Kila mtu ana haki ya kuheshimu mawazo ya mwingine hata KAMA huyaungi mkono

    Nasikitika sana pale ninapoona WATU wakisema watanzania wengi bado ni wapumbavu kwasababu ya kutofautiana kwa mtazamo kila mtu amepewa uhuru wa kuchagua dini,chama etc KAMA anavyona NA kumini kwaba ni sawa.ikiwa mmeshindwa au kushindwabasi tukubaliane ,tusitukanane wala kupigana kwasababu...
  10. W

    Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

    Watanzania wamewachoka WATU wa kanda ya kaskazini
  11. W

    Wana'UKAWA ifikapo kesho tayari tutakua

    Amakweli ukipenda chongo utaita kengeza kamaccm imewika mikoa yote ila arusha NA moshi bado mna mategemeo?
  12. W

    Video: Kinana awajia juu viongozi wa CCM, akataza malori

    kiongozi mkweli haogopi kiboko ya ukawa
  13. W

    Azam tv mnachokifanya hakivumiliki

    Mnayo itv yenu NA u4soro simuangalie hiyo au fungueni yenu hata mimi sikubali KUA nateam inayoshindwa.tbc mbaya star tv mbaya azam mbaya haya anzisha yako uone KAMA watakuingilia.ccm mbele kwa mbele.
  14. W

    Meneja kampeni: Lowassa atashinda kwa asilimia 82

    Kutamka kwa mdomo Mbona rahisi hata mimi nakuambia mangufuli atashinda kwa asilimia 99.9.hata meneja wa rungwe au dovutwa hakwambii watashindwa ndio maana wako kwenye kampeni.ukweli ni25/10.hapa kazi tu
  15. W

    Tamaa ya Lowassa ya uongozi yamfikisha katika fungu la kukosa

    Kikubwa mungu ametaka awarudishie watnzania sehemu ya mali aliokwapua .nyingi zimeliwa NA wajanja lkulu ataisikia hapa kazi tu
Back
Top Bottom