Recent content by Wagner

  1. Wagner

    Hii ni kwa wafanyabiashara tu tunaotoaga 10% ili tupate kazi/Tender. Tuijadili hii 10% tuiwekee utaratibu

    Hapa ni kuboresha maslai ya wafanyakazi2 mkuu mfano enginer amesoma kwa tabu si chini ya miaka kumi na saba paka 20 leo anakuja mtt wa lasaba ni mbunge posho, mshahara na gari analo tembelea Enginer hana anaenda kazini na ist ya mkopo leo unakuja kumpa mradi wa milioni 100 asimamie ataacha...
  2. Wagner

    Gamondi kocha mpya Singida Black Stars

    Kama ni kweli na mpira usiwe na siasa tuta shuhudia makubwa sana kwenye sola la tanzania
  3. Wagner

    Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

    Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe Mimi ni kijana wa kiume,umri wangu ni early 20s. Kiukweli toka nizaliwe hadi sasa sijawahi kufanya mapenzi(penetrative sex) licha ya kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wasichana kadhaa,lakini wote tumeishia kufanya romance tu...
  4. Wagner

    Bando linapaa hadi kero

    Hawana za mikononi
  5. Wagner

    Bando linapaa hadi kero

    Mkuu hii ya 70k inakuwaje tupe mchongo bando kero sana
  6. Wagner

    Nitumie dawa gani ndevu ziote haraka?

    Wako wapi hawa mkuu hapa dar
  7. Wagner

    Kuwa maskini Tanzania ni chaguo la mtu mwenyewe. You can choose to die poor

    Ww umefanyikiwa wapi tufwate nyayo zako mkuu
  8. Wagner

    Dhambi inatakiwa ikemewe namna hii. Sio kubembeleza

    Hii ni ni miongoni mwa hadhina chache sana tulizo bakinazo kwenye wokovu
  9. Wagner

    Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

    Wazo bora na watoto nani anawafulia na kuwapikia
  10. Wagner

    Mwanaume usikwepe majukumu yako kwa mpenzi wako umpendaye

    Tutunzani sio nikutunze tutunzane maisha yaendeleee wazazi wako wamekutunza bado hujatosheka.
  11. Wagner

    Haya mambo ni magumu. Yamenifika kooni naomba ushauri

    Pole kwa yote Biblia imesema tuwaheshimu wazazi we endelea kumtii na kumpa haki yake kama mama kuna kusudi la Mungu Ndani yako angeweza kukutoa bado mapema ila paka leo unaishi Mshukuru Mungu fanya ibada na tafuta watu wakukushauri kama mama mpe muda atarudi2.
  12. Wagner

    Mwanamke anatazama maslahi ( Uhakika wa maisha)

    Kwa hualisia ndivyo ilivyo mwanamke kumtegemea mwanaume unaposhindwa kutimiza wajibu hapo ndipo linakuja swala la uvumilivu na upendo aliyonao mwenza wako. Tunashauriwa kabla hatujawekana ndani tuanze kwanza na maisha ya chini sasa vijana sikuhizi tumesha jipata ndio tunavuta majiko lazima...
  13. Wagner

    Kwanini wanaume huchepuka?

    Makelele ndani ya nyumba ni chanzo cha mwanaume kukimbia we tulia na usiwe na maneno mengi uwone kama mumeo atatoka.
Back
Top Bottom