Wanabodi,
leo tena naendelea na zile nakaa zang za malaika na shetani.
Kwa wasomaji wapya katika kukumbushaba tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alijua malaika Mkuu! .
Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale...
Wanabodi,
leo tena naendelea na zile nakaa zang za malaika na shetani.
Kwa wasomaji wapya katika kukumbushaba tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alijua malaika Mkuu! .
Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale...
KWAHERI DR.SLAA SISI TUNASONGA MBELE.
Na Nicholaus Ngowi
1/9/2015
Unapotaka kueleza juu ya siasa za Tanzania hasa katika mfumo wa vyama huwezi kuacha kumzungumzia Dr.Wilbroad Peter Slaa ambaye amekuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa zaidi ya muongo mmoja.
Kwa kiasi kikubwa alijitahidi kuijenga...
Inawezekana ulikuwa na hasira sana wakati unahutubia leo kiasi ukasahau kuwa focus ya upinzani kwanza ni kuiondoa ccm ili kuleta mabadiliko ya kweli ya Maendeleo KWA Tanzania nimekusamehe lakini nadhani utatakiwa kuwaomba radhi watanzania kwa kujaribu kuwavunja moyo. Lakini take it from me...
Grp A
PSG
Madrid
Donesky
Malmo
Grp B
PSV
Man Utd
CSK Moscow
Wolfsburg
Grp C
Benfica
A.Madrid
Galatasay
Astana
Grp D
Juventus
Man City
Sevilla
Borussia M
Group E
Barcelona
Leverkusen
Roma
Bate
Grp F
Bayern
Arsenal
Olimpyacos
Dinamo
Grp G
Chelsea
Porto
Kiev
Tel Aviv
Grp H
Zenit...
Itabid tutumie msemo mmoja wa wamarekani "no matter whether he will bring development or not we will choose Obama to show the world that America is for everyone"
Sisi tunasema "no matter whether he will bring development or not we will choose lowasa from ukawa to show the world that Tanzania is...
Nyerere hukusema pumbavu alisema wajinga
Neno wajinga sio tusi kwani tafsiri yake ni mtu asiyejua kitu lakin wakipata elimu hawaitwi tena wajinga
Lakini kumuita mtu mpumbavu ni kumtusi kuwa hawezi tena kujifunza
Ujinga maana yake ignorance
Upumbuvu maana yake fool
What makes the letter "J" very special is;-JESUS was born in JUDEA which is in JERUSALEM, His father was JOSEPH the son of JACOB.
He was baptised by JOHN the baptist in the most popular river JORDAN; which is located at the wilderness of JUDEA. JAMES and JOHN were His best disciples. He was...
NIMEAMUA KUSIMAMA UPANDE WA UKAWA NA KUMPIGIA KURA LOWASA AWE RAISI KWA MOYO MWEUPEE!!
Baada ya kutafakari kwa kina, Na kwa muda mrefu sana.... Nimeamua Kumpigia kura edwardlowassa kuwa Rais wangu wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania bila kujali kashfa zake. Kama kweli alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.