Dr slaa ni mtu pekee aliyeanzisha vita ya ufisadi bungeni 2005 _2010 na alipita kutuaminisha kuwa lowasa ni fisadi papa na tulikuwa tunamsubiri atuambie ufisadi umeishaje hadi wamempokea au ilikuwa ni kutafuta umaarufu na kumchafua ili chadema ipate kuwa juu,ndiye mtu pekee tuliyekuwa tunamsubiri kwn alipokuwa akizunguka alidai ushahidi anao,jana ndo amekuja na maelezo kuwa hawezi kukaa na mgombea huyo kwani bado anaamini ni fisadi papa na ushahidi na makablasha ndo yale anayo swali ni kuwa kweli upinzani Tanzania upo kweli? Kama ni kweli aliyosema dr na majibu ya tundu lisu kuna mashaka na mustakabali wa hii nchi