Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

Dr. Slaa hatanyamaza, hataishia hapo!

Dr slaa ni mtu pekee aliyeanzisha vita ya ufisadi bungeni 2005 _2010 na alipita kutuaminisha kuwa lowasa ni fisadi papa na tulikuwa tunamsubiri atuambie ufisadi umeishaje hadi wamempokea au ilikuwa ni kutafuta umaarufu na kumchafua ili chadema ipate kuwa juu,ndiye mtu pekee tuliyekuwa tunamsubiri kwn alipokuwa akizunguka alidai ushahidi anao,jana ndo amekuja na maelezo kuwa hawezi kukaa na mgombea huyo kwani bado anaamini ni fisadi papa na ushahidi na makablasha ndo yale anayo swali ni kuwa kweli upinzani Tanzania upo kweli? Kama ni kweli aliyosema dr na majibu ya tundu lisu kuna mashaka na mustakabali wa hii nchi
Na ndiye aliye asisi mchakato wa kumpokea lowassa chadema huku akijua ni fisadi ambaye hawezi kushare naye chama.
 
Ccm siraha yao ya mwisho ilikuwa dr slaa na wemechemuka hawana mtu mwingine wa kuwasaidia tena
 
Khaa!! Asante Mungu, asante sasa kwa kunipa mimi mpiga kura Dr Slaa
A%20S%20shade.gif
 
Khaa!! Asante Mungu, asante sasa kwa kunipa mimi mpiga kura Dr Slaa
A%20S%20shade.gif

Tundu Lisu,"...tatizo ni mama,mama kakataa,siku kamati kuu inampokea Edward Lowasa,Dr.Slaa alilala nje,firstlady alimtupia mabegi yake akalala kwenye gari..."
 
Wew hukuwahi kuwa upande wetu. Kwa taarifa yako mliyemtuma na kumlipia pale serena haja tu athiri chochote bali katuzidishia speed ya kusonga mbele. Lowasaaaaaaaaa

Tusipoteze muda na harakati zetu za kutaka mabadiliko,wanaomshabikia Slaa ni CCM waliomtuma,hao hao wakati yuko Chadema walimuita mzushi muongo na kutishia kumpeleka Mahakamani,leo hii wanamuita msema kweli,kwa upande mwingine,kama Lowasa ni Fisadi alifanya ufisadi akiwa CCM na sasa ameondoka huko,kama ni hivyo Slaa akawashambulie waliobaki CCM,na kwa nini akomae na Richmond ya 2008 je Escrow ya 2015 anaiweka wapi,
mbona watuhumiwa wa Escrow wamepeta Kura za maoni CCM.Hakuna mtu mwenye hakiri za kawaida tu asieweza kuona kuwa Slaa alitumwa na CCM alitaja mafisadi 11 mbona kakomaa na mmoja tena ambaye kisha jivua Gamba.
Nenda kapumzike mzee.
 
Ni Watanzania wangapi wana muda wa kutafakari issues? only 5% tena hata hao 5% wanatafakari na kuyaacha yalivyo wachache sana wanaofanyia kazi tafakuri zao.

Ukurasa wa Slaa umeshafungwa atasahaulika kwa muda mfupi sana, Lipumba alikuwa m/kiti CUF zaidi ya miaka 15 lakini amesahaulika ndani ya mwezi mmoja.

Eti Lipumba na Slaa watasahaulika nahisi unaota mchana.. Kama hujui hao ndo viongozi ambao mtawakumbuka daima... Subir Oct ipite ndo utaelewa maneno yangu maana kwa sasa huwez elewa sababu mihemko na Ushabiki maana I umewatawala
 
Dr slaa ni mtu pekee aliyeanzisha vita ya ufisadi bungeni 2005 _2010 na alipita kutuaminisha kuwa lowasa ni fisadi papa na tulikuwa tunamsubiri atuambie ufisadi umeishaje hadi wamempokea au ilikuwa ni kutafuta umaarufu na kumchafua ili chadema ipate kuwa juu,ndiye mtu pekee tuliyekuwa tunamsubiri kwn alipokuwa akizunguka alidai ushahidi anao,jana ndo amekuja na maelezo kuwa hawezi kukaa na mgombea huyo kwani bado anaamini ni fisadi papa na ushahidi na makablasha ndo yale anayo swali ni kuwa kweli upinzani Tanzania upo kweli? Kama ni kweli aliyosema dr na majibu ya tundu lisu kuna mashaka na mustakabali wa hii nchi

Ni kwel kabisa mkuu... Hoja nzito zinapojibiwa kwa mipasho ni hatar sana... Nimejiuliza hiv si bora Lisu angekaa kimya tu kuliko alivyojiabisha kiasi kile
 
Wanabodi,

leo tena naendelea na zile nakaa zang za malaika na shetani.



Kwa wasomaji wapya katika kukumbushaba tuu, hapo hapo mwanzo, shetani alikuwa malaika kabla hajawa shetani, tena ndio alijua malaika Mkuu! .



Kwenye himaya ya mashetani shetani hayuko peke yake, yuko na wale malaika wengine waliojiunga nae ambao sasa wote ni mashetani wengine walioamua kujiunga nae.



Katika la jeshi la malaika wa mbinguni from time to kuna baadhi ya malaika huwa wana defect na kumfuata shetani na huo hugeuka mashetani.



Vivyo hivyo kwenye jeshi la shetani kuna mashetani huwa wanatubu na kumrudia Mungu hivyo hurejea na kuwa malaika. Hawa sasa ni harmless kwa sababu ushetani wao wote wana kuwa wameuacha kyle ushetanini!.



Lakini inapotokea malaika akaamua kufanya kazi ya shetani huku amepose kama malaika!, huyu ni Hatari kuliko hata shetani mwenyewe maana you can't tell!. Watu wa Mungu watamsikiliza wakidhani ni malaika kumbe nje na ngozi tuu ndio ya malaika lakini ndani ni ibilisi mwovu shetani waged! .



Swali ni je ni nani ni Hatari zaidi Kati ya shetani aliyetubu na kugeuka malaika na malaika Aliyegeuka shetani kwa kufanya kazi ya shetani huku akiendelea kupose as malaika?!.



Tafakari na chukua hatua.



Nawatakia Jumatano njema.
 
Tundu Lisu,"...tatizo ni mama,mama kakataa,siku kamati kuu inampokea Edward Lowasa,Dr.Slaa alilala nje,firstlady alimtupia mabegi yake akalala kwenye gari..."
Khaa!! Hoja ya kitoto sana hii, alale bafuni au jikoni si jambo linalotuhusu wapigakura jibuni hoja haraka sana kabla ya 25
A%20S%20shade.gif
 
Tatizo ni kuwa Slaa amekuwa Chadema kumbe moyoni bado mwanaCCM
 
Hakuwa wa mabadiliko ya kweli ndiyo maana ameishia njiani.Tunamshukuru kwa kuwa chachu ya demokrasia ya kweli

ndani ya Tanzania
 
Khaa!! Hoja ya kitoto sana hii, alale bafuni au jikoni si jambo linalotuhusu wapigakura jibuni hoja haraka sana kabla ya 25
A%20S%20shade.gif

Ijibiwe isijibiwe Lowasa ni Rais Wa awamu ijayo,hata mngefanya nini tumeamua tunataka mabadiliko
 
Aliongea kitu cha muhimu sana..2010 watu walipata ulemavu kupitia maandamano ya chadema kuipinga ccm ... ataficha wapi sura yake kuwakubali walioshabibishia wanachama wake ulemavu...mzee utadharaulika saivi kwa sababu ya ushabiki lakini baadae maisha baada ya uchaguzi watu wataanza kukuelewa.
 
Hatuna imani na siasa za ukawa hata mjitetee vipi tumechokeza na sias zetu zakutufaya mazezeata shame on you.

hiyo kanda ni sehemu ya tanzania, watanzania wanaotoka sehemu hizo wana haki ya kikatiba kuomba kuchaguliwa na kuchagua hali kadhalika.
kutokujua hilo ni uzuzu
 
Back
Top Bottom