Recent content by WAGAGAGIGIGOGO

  1. W

    Wanaume acheni kutuchafua, tupeni raha

    Unalalamika kuwa wana gitaa dogo. Kumbe wewe hujui una uwanja wa taifa.Hata wapige vipi haliwezi kusikika.venue yako ni kubwaaaa
  2. W

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Alianfika huu uzi ana mashauzi kama anatoka BK. Amewagusa sana. wazee Kambaleeee. Wazee wa kula utumbooo. Wazee wa sewage system Wazee wa 0713... Wazee wa Kabannnnnng Wazee wa kukata mafla Barabara za vumbi hatareeee
  3. W

    Portugal v France: UEFA EURO2016 Final - Portugal Crown Champions!

    Gignac ni afadhali angeingia Martial
  4. W

    Portugal v France: UEFA EURO2016 Final - Portugal Crown Champions!

    Sissoko leo lazima achinje mtu
  5. W

    Waziri Mkuu apiga marufuku matumizi ya Shisha nchini

    Bado VIROBA sasa. Awaokoe wazee wa kutoa loku asbh asbh au kuamsha popo
  6. W

    Kweli mambo ya Tanga yapo hivi au makusudi tu?

    Watoto wa KISOSORA,MAJANI MAPANA,DONGE,NGUVUMALI,KWA MINCHI,MAKORORA,MABANDA YA PAPA MPOOO? Jamaa atakuwa na fangasi huyo ,sasa mdalasili na karafuu vilipopenya palipo athirika akapata maumivu. Next time akuwekee ngogwe,bamia na mlenda
  7. W

    Mabetri ya Amaron yanauzwa

    Ni Betri au Mabetri?
  8. W

    Muhimbili: Kuanzia Julai Mosi, hakuna ndugu kutembelea mgonjwa muda wa saa 6-8 mchana

    Magari kuingia Muhimbili ni bure.Hawalipishi kama Bombo au KCMC. Mgonjwa akiandikiwa dawa wakati Madaktari wamepita mzunguko wa saa tatu.Na bahati mbaya ikakosekana.Wewe ndugu utajulishwaje? Hapo utakuja kujua saa kumi jioni utakapokuja kumsalimia tena .
  9. W

    SUMATRA mko wapi?

    Mleta uzi UMEKURUPUKA. Masaki siyo moja tu. Kuna Masaki iliyopo Kisarawe
  10. W

    Akutwa amefariki akiwa amevaa kondomu

    Hii ni kama kamanda kufa akiwa kavaa bullet proof.
  11. W

    Tuliozaliwa zamani kuna haya. Je, ulishawahi kukutana nayo?

    Mgeni akija nyumbani anakaribishwa sebuleni au nje halafu inletewa albamu ya picha na una unakaa nae karibu kuanza kumwelezea kila picha.
Back
Top Bottom