Kuna timu hapa nchini mkuu kombe la shirikisho walienda na vyungu vyenye Moto huko kwa madiba ili waweze kushinda
Nimesahau jina la timu naomba nikumbushe mkuu
Marioo ndyo mwanamuziki nambari UNO kwa Sasa nchini Tanzania kubali kataa
Nakubali diamond n msanii Bora ila kwa Sasa kubalini huyo dogo kwa Sasa Ni noma Tena Sana
Mboso hawez mfikia huyo kijana mboso anaimba taarab m hanganyiko na nachinachi Kutoka bara Hindi
Dayot upemacano anagawana mshahara na tuchel
Mechi ya 1 kasababisha goli 2
Mechi ya 2 kanusurika umeme kasababisha penati kasababisha goli lakn hakutolewa h nje Kama substution
Kuna watu wanabahati zao
Mane n flopp pale Bavarian
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.