Recent content by Wafujo

  1. Wafujo

    Nataka kufuga bundi, lakini jamii hainielewi

    Tafuta njia nyingine ya kupambana na hao panya badala ya kupambana na jamii inayokuzunguka.
  2. Wafujo

    Tangu nijiunge JamiiForums sikuwahi kuingia MMU

    Nilivyosoma kichwa cha uzi nikajua una miaka kadha wa kadha, kumbe una siku 4 tu?? Shubaamit[emoji52]
  3. Wafujo

    Vijana mkitaka furaha ya maisha oa mke BIKIRA

    Mzee wangu kwanza hongera kwa kufikisha umri huo. Pili acha nikupe kongole kwa busara zako katika mada husika. Tatu umenifanya nianze kukufuatilia humu jf (si kwa ubaya, kwa lengo la kujifunza zaidi kutoka kwako). Uishi sana Mzee wangu, huu uzi wako nitaufanyia kazi.
  4. Wafujo

    Vijana mkitaka furaha ya maisha oa mke BIKIRA

    Huu uzi mods naomba uwekwe lamination na upelekwe pale makumbusho kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
  5. Wafujo

    Usimpoteze mwanamke mwema kwasababu alijamiiana na mwanaume mwingine kwa bahati mbaya

    Sikuhizi mitandao ya kijamii inawajaza ufala sana vichwa panzi.
  6. Wafujo

    Nilikuta Mke wangu kapima Afya bila kunishirikisha, Hongera kwake kwa kujitambua

    Walisemaga wazee wa zamani kuchapiwa ni siri ya ndani ila ww umekuja hapa kuitoa[emoji28][emoji28]
  7. Wafujo

    New Couple in Town! I love you so much!

    Mkuu umewaza ujinga sana[emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Wafujo

    Watoto wa mama Salma! Ni kweli walimwagwa vyuoni?

    Huu uvumi ulinifanya nisome chuo miaka 4 bila kumtongoza demu mwanachuo.
  9. Wafujo

    UKIMWI upo ndugu zangu

    Usije tu ukapiga mtu[emoji28][emoji28]
  10. Wafujo

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Naweka kambi hapa
  11. Wafujo

    Wafuatao siwezi kuwashauri kitu kingine zaidi ya kuwataka warudi shule na kuongeza elimu.

    Kuna nyuzi nyingine ukianzisha unaweza jikuta kila mtu jukwaani anakushambulia. Huu ni mmoja wapo.
  12. Wafujo

    Nimetembelewa na mgeni aliyevaa kikuku miguuni

    Kama una nia ya dhati nae ni vyema ukamuuliza lengo kuu la kuvaa kikuku ni nini na kama anajua maana yake kwa jamii yetu ilopinda.
Back
Top Bottom