Mimi ni mwalimu , kwa kweli sitamani hata kidogo kuwa muajiriwa eneo lingine, hebu fikiria nafundisha mikondo miwili civics , kila kipindi kina dakika 40, so Nina vipindi sita kwa wiki 6*40=240, Nina Masaa nane ya kufanya kazi kwa mwezi , daraja langu ni tgts D, nalipwa 496 k, Nina likizo april...