Habari wana jukwaa,sisi tunajishughulisha na uchimbaji wa visima pamoja utafiti wa maji ( ground water survey ) kwa bei rahis.
Tunachimba kwa shillingi elfu sitini kwa mita moja na tunaweka pampu. Pia gharama za utafiti wa maji ( ground water survey ) ni shilingi 350000 tunapiga verse 2.
Tupo...
Habari wana JF,
Lengo la uzi huu ni kutoa ushauri tu kwa wale wote jamaa zetu waliokosa sifa za kujiunga na shahada kupitia vigezo vilivyowekwa na TCU. Ushauri wangu ni kuwa sasa ni nafasi pekee ya kuvipindukia vyuo vilivyo chini ya veta ili kwenda kuchukua fani mbalimbali zitakazoweza...
Wakuu habari nina kijana wangu nataka kumtafutia chuo cha nje ya nchi ambacho kinatambulika na serikali yetu ili hata akimaliza kusoma asipate tabu kwenye maswala ya kupata ajira...Lakini pia dhumuni siyo kwenda kusoma huko ulaya hapana ni kusoma online Level ya degree wakuu naombeni msaada wa...
Mkuu kinachonikera ni nini? Nimecreate blog sasa nimetengeneza kurasa zangu tayari,nikija ku click juu pale palipo andikwa tazama blogu yako zile kurasa kule hazidisplay i mean zinakuwa hazipo jee nifanyeje hapo?
Kuna vyuo vilikuwa vinatoa kozi ya pre_bachelor course kwa wale walio na sifa zisizo ruhusu wao kuingia moja kwa moja kusoma degree je vipi hizi course zitaendelea kutolewa au?
Wakuu habari za week end,ninahitaji kuwa na blog yenye muonekano mzuri ila ninahitaji mtu anifundishe ili kama inawezekana nitengeneze mwenyewe hiyo blog kwa kutumia mafundisho ya huyo mtaalamu....plz kwa yeyote mwenye ujuzi tafadhali naomba anisaidie
Nawasilisha...
Maji unaweza kukuta yapi kwa juu kidogo ila its better kama ukichimba mita hizo mkuu na pia unaweza ukachimba leo ukatia pvc kabsa then ukajipanga ukaja kuweka pampu later on
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.