Hii kitu imekuja wakati muafaka kwangu, asante mtoa mada, nimepata Amani ya roho, baada ya kusoma hii mada nmedelete kabisa namba na msg zote, how comes unaandika msg 10, unajibiwa moja, tena jibu lenyewe unaambiwa "poa" hata kama ni swali linahitaji explanation,,,, halafu dada anaekusumbua...