duh anamziki bendi ngapi!!Tehetehetehetehe. Subiri Muziki wa Magufuli.
aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu tabasamu amerejea ccm pamoja na mwenyekiti wa chadema sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza
Jana umeshuhudia wanachama wangapi walio hamia cdm kutoka ccm?tipa ya tani tatu ilijaa kadi za ccm zilizo rudishwa jana,hivyo hiyo ulio iona ni pigo kwa cdm na kuiandika kishabiki eti cdm yasambaratika ni sawa na kilo moja ya chumvi kwenye bahari ya Hindi,pole sana kwa kuendelea kuchechemea na jiandae kutawaliwa na rais lowasa
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza
Kura ndo mpango mzima. Tusubiri tuone maana bado October haijafika. Chochote kinaweza kutokea kipindi hiki. Mioyo ta watu inaweza kubadilika hivyo bado muda upo.
Weka picha tuone hilo tipa lililojaa kadi.
Jana umeshuhudia wanachama wangapi walio hamia cdm kutoka ccm?tipa ya tani tatu ilijaa kadi za ccm zilizo rudishwa jana,hivyo hiyo ulio iona ni pigo kwa cdm na kuiandika kishabiki eti cdm yasambaratika ni sawa na kilo moja ya chumvi kwenye bahari ya Hindi,pole sana kwa kuendelea kuchechemea na jiandae kutawaliwa na rais lowasa
Huyo amekatwa, aende salama.Ila kichwa cha uzi na habari yenyewe mbona vitu viwili tofauti, yaani kutoka mtu mmoja tena ambaye amekataliwa na wapiga kura ndiyo Chadema kusamabaratika?
Hzo kadi zote mbona mpya, hakuna iliyo chakaaa hata moja hapa kuna kitu
Uliangalia kwa kuogopa
Kumbe kadi zinakuwa kama viatu
sisimiz, tunapoteza 6, tunapata 24
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema.
Kazi ndo kwanza haijaanza