Recent content by WA TANGA

  1. W

    Utafiti mpya wa rais ajaye: Edward Lowassa hakamatiki

    Stephen Wasira mnamjuaa??? Atawaonyesha kazi.
  2. W

    Kikwete: Zama za kuamini kuwa CCM ikipitisha mgombea huyo ndio anakuwa Rais zimepitwa na wakati

    Ahsante Kikwete Huyo Lowasa alikuwa amezidi, bora aache tuu!
  3. W

    Bajeti ya wizara ya Kilimo yapitishwa na wabunge 28 tu!

    Na ndiye Rais wako Oktoba, vimba tumbo uharishe.
  4. W

    Bajeti ya wizara ya Kilimo yapitishwa na wabunge 28 tu!

    Wasira ni jembee anajua anachokifanya, jana kaonyesha umahiri wake.
  5. W

    Kura ya maoni, Ukawa wavutana Dar

    Na bado ukawa hakuna kitu, watasambaratika tuu
  6. W

    Mtatiro apitishwa kugombea Ubunge Segerea

    Hilo jimbo ni Mali ya CCM , mnapoteza muda.
  7. W

    CCM kwaiva: Kama si Salim ni Mwandosya

    Stephen Wasira atawashangaza wengi.
  8. W

    Nani ni Nani Urais Upinzani 2015: Anna Mghwira Mwenyekiti ACT-Wazalendo

    Huyu MAMA CV yake hakuna Wa kuifikia ukawa yoteee!
  9. W

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Kamati Kuu CCM kukutana Mei 23 Dodoma kujadili ajenda mbalimbali

    CCM ikimpitisha Stephen Wasira. Ukawa watapata shidaa
  10. W

    Swali la ugomvi: Mnamtaka Lowassa tu au Lowassa na CCM yake?

    Lowasa hawezi kupitishwa na CCM ajiandaee kosaikolojia na Watu wake.
  11. W

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    Stephen Wasira
  12. W

    Wasanii wa Bongo Fleva waungana kumfanyia Lowassa sherehe kuelekea Uchaguzi Mkuu!

    Stephen Wasira anawapita wotee kama wamesimama. Endeleeni kujifariji. Nchi inawahitaji Wazalendo sio makanjanja.
  13. W

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Kamati Kuu CCM kukutana Mei 23 Dodoma kujadili ajenda mbalimbali

    Umechanganyikiwa wewe sio bure, naona unacheua posho zake. Hukijui Chama Cha Mapinduzi vizuri. Kitakupindua wewe na huyo mgombea wako. Jiandaeni kisaikolojia.
Back
Top Bottom