CHIEF MGALULA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,190
- 889
Hapo poa sana!!
Pale angemuachia mpendazoe.then yeye aende ukonga ingekuwa poa sana
Vip kuhusu mpendazoe wa CHADEMA make ndo alishika nafasi ya pili 2010?
Hilo jimbo ni Mali ya CCM , mnapoteza muda.
watu kama nyinyi hamtakiwi UKAWA, tatizo la chama linatoka wapi?
We magamba nini???
Weka hapa hati miliki tuione!
Vip kuhusu mpendazoe wa CHADEMA make ndo alishika nafasi ya pili 2010?
Safiiiiiiii UKAWA lazma tuibuke kidedea.Mtatiro ni kijana makiniAmepitishwa na CUF kugombea jimbo la Segerea. Ni katika chaguzi mbalimbali zinazoendelea ndani ya CUF Nchi nzima.
Vip kuhusu mpendazoe wa CHADEMA make ndo alishika nafasi ya pili 2010?
Hata mimi namkubali sana huyu mjamaa, nakumbuka siku moja ARU & UDSM, kwa pamoja tulienda bodi ya mikopo, tulikinukisha pale, kamanda Mtatiro akiongoza jahazi kama Waziri Mkuu wa UDSM, wakati ARU kulikuwa na jamaa mmoja anaitwa MASSAWE, dah hawa jamaa walikuwa kweli ni viongozi, wakapachimba pale pale mpaka siku hiyo hiyo jioni tukapata hela zetu.namkubali sana Mtatiro, nakumbuka harakati zake za kisiasa alipokua PM pale Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Afadhali Huyo huyu wa kijani aliyepo afya arijojo apumzike
Kwa amani mtatiro afanye kaz
Tatizo ni Chama alichochagua kuwa kwacho
Mpendazoe yuko kwao Kishapu kumng'oa Seleman Nchambi mwarabu koko.