Hakuna tatizo kwani mtoa damu hawezi kusema anakula kitimoto na hata watoaji hawaulizi kama unakula kitimoto. Vyakula ni Kwa nje tu, ndani ya mwili havitambuliki.
Spika ni MTU mjinga kabisa. Kwanini anafuatilia mambo yasiyomhusu? Kwani ni asiendellee na mambo mengine au hana cha kufanya? Suala LA Lissu halimhusu mjinga!!!
Sijui nchi yetu imekumbwa na shetani gani. Haijawahi kutokea kuwa na Rais Wa NAMBA hii. Afadhali aendelee kususia vikao vya njema asije kuropoka akatuaibisha Taifa zima
Naomba niwatie Moyo. Demokrasia inakua. Pamoja na dhuruma inayofanyika katika nchi yetu najua iko siku tutapata ukombozi. Tusikate tamaa tuendelee kupigana na kukosoa bila woga
E="Gangongine, post: 23097936, member: 346691"]Yupo jamaa mmoja hapa JF ambaye kwa muda mrefu amekuwa akikosoa Serikali akiwa mafichoni huko Marekani kwa jina la T.L.Marandu. Juzi amesikika kwenye You tube akimtukana na kumkashifu Rais wa Nchi yetu bila aibu wala adabu. Katika kauli zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.