Mbowe shikilia hapo hapo, CHADEMA can't be for dogs!

Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere alipoona nguvu ya Mrema ilivokuwa na ombwe lililokuwepo ktk uongozi wa nchi!Aliamua kusimama kidete kunusuru nchi.(sio CCM) na kumpigis Kampeni ya nguvu BWM na hatmaye akawa Rais.

Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!

Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.

Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!

Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!
Jukumu LA kwanza la kiongozi was chama cha siasa ni kufikisha chama toka A mpaka B kwenye nchi ya asali na maziwa haraka iwezekanavyo ili sababu za kuanzishwa kwake zitimie. Hapa kwetu kila miaka 5 vyama vyote vya siasa vinapata fursa ya kuingia kwenye nchi ya ahadi na ni jukumu la kiongozi kuwafikisha wanachama wote huko. Akishindwa wenzake wanaweza wakampa nafasi nyingine kama alikaribia lakini kama alikuwa mbali sana kiongozi mstaarabu huachia ngazi mwanachama mwingine ajaribu maana lengo lao ni moja. Baada ya kupewa nafasi nyingine na akafanya vibaya zaidi kuliko fursa iliyopita, atolewe kwa kurihusu wanachama wengine wachukue nafasi yake ya uongozi kwa njia ya kidemokrasia. Kuna njia na namna nyingi za kufika B.
Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere alipoona nguvu ya Mrema ilivokuwa na ombwe lililokuwepo ktk uongozi wa nchi!Aliamua kusimama kidete kunusuru nchi.(sio CCM) na kumpigis Kampeni ya nguvu BWM na hatmaye akawa Rais.

Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!

Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.

Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!

Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!
 
Ukiona hadi sasa mtungi yuko kimya yaani kakosa kifungu cha maelekezo cha kumsulubu mbowe jua cdm wako sahihi
 
Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere alipoona nguvu ya Mrema ilivokuwa na ombwe lililokuwepo ktk uongozi wa nchi!Aliamua kusimama kidete kunusuru nchi.(sio CCM) na kumpigis Kampeni ya nguvu BWM na hatmaye akawa Rais.

Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!

Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.

Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!

Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!

Correction .... siyo kuwaachia mbwa bali MALAYA wa kisiasa. Chama chochote kile na hapo tuanzie kwa FISI, sio kichaka fichoni kwa MALAYA wa kisiasa. Vinginevyo pia. Siasa za nchi yetu ni budi ziwe na tija kwa MUSTAKABALI wa nchi hii. Malaya kama kawaida yao na umalaya wao sio tu wababaishaji, opportunists, ni laana tupo. Iko kwenye maandiko takatifu.
 
Wanaotaka Mbowe atoke Ni Wafadhili wa Chadema wa ndani na nje.Mbowe akirudi madarakani chadema itakuwa moja ya vyama maskini kuliko Chama chochote.

Matajiri na Wenye fedha wa ndani na nje wanaiaga rasmi chadema.Wana chadema mchague mawili Mbowe abaki au Wafadhili wenu waondoke
Teh teh teh leo mmekuja na uzushi huu,kweli mmeishiwa hoja. Acha Mbowe abaki tutapitisha bakuli chama kitaendelea kama kawaida.
 
I'm afraid to say, the time to save Chadema is too little too short!, baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020, Chadema will be reduced to almost nothing!.
P
 
Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere alipoona nguvu ya Mrema ilivokuwa na ombwe lililokuwepo ktk uongozi wa nchi!Aliamua kusimama kidete kunusuru nchi.(sio CCM) na kumpigis Kampeni ya nguvu BWM na hatmaye akawa Rais.

Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!

Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.

Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!

Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!
And believe you me that CHADEMA will never go to dogs may be CCM
 
I'm afraid to say, the time to save Chadema is too little too short!, baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020, Chadema will be reduced to almost nothing!.
P
Wee bana kamatia hapo hapo mana unaweza usipewe tenda kwenye ile ofisi yetu. Tusije kosa mishahara ya kuendesha familia . Wala sikulaumu kwa bandiko lako. ntakutafuta siku ya matokeo 2020 ya uchaguzi mkuu
 
I'm afraid to say, the time to save Chadema is too little too short!, baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020, Chadema will be reduced to almost nothing!.
P
Anko, chama siyo VITI bana. Wanachama bado watakuwepo. In pluralis, wawili wanahesabika kama ni WANACHAMA. Au ile sheria imebadilika? Chama kitabaki
 
Mwaka 1995 Mwalimu Nyerere alipoona nguvu ya Mrema ilivokuwa na ombwe lililokuwepo ktk uongozi wa nchi!Aliamua kusimama kidete kunusuru nchi.(sio CCM) na kumpigis Kampeni ya nguvu BWM na hatmaye akawa Rais.

Mwalimu alitumia msemo wa Kingereza tafsiri siwezi kukaa Butiama na kuiacha nchi MIKONONI mwa mbwa(going to dogs)Kila mtu alitafsiri kivyake,wengine walisema alitukana!

Leo hii tunasikia kelele nyingi,kuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA kuwa amekaa Sana ,awaachie na wengine!
Aidha anavunja katiba.

Kinadharia inaweza kuwa kweli!
Lakini katika mazingira ya Siasa za kihunii zilizoendeshwa kwa Miaka 4 sasa Ni ngumu sana Kuwaamini Hawa wema walijiotokeza kuitakia mema CHADEMA kwa kimtaka Mbowe apumzike!

Haya NI machozi ya mamba! Mbowe Shikilia hapohapo huwezi kuwaachia Chama Mbwa!
NB,wanachadema ndiyo watakaoiua chadema,ccm itaimalizia tu
 
MaCCM yote kwa Mbowe lazima yachutame KUDADEKI zao.
#MWAMBA TUVUSHE wavimbe wapasuke.
 
I'm afraid to say, the time to save Chadema is too little too short!, baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020, Chadema will be reduced to almost nothing!.
P
Nakuhakikishia Mkuu Paskal; wenda wewe ni mwandisi wa Habari Ila siyo mtafiti. Ata Chadema waseme kwa msajili wa vyama kua kuanzia leo tumejifuta bado CCM hawataweza kukosa upinzani. Kama Lengo la Magufuli ni kukifuta CHADEMA bila kufuta upinzani basi atakua Sawa na mtu anaetaka kwenda Kyela kwa kupitia Nairobi.

CHADEMA si jina tu inayowaunganisha watu ? nakwambia kuna watu wanafanya kazi Ikulu na Rais lakini ni wapinzani kwelikweli wa serikali.
 
Nakuhakikishia Mkuu Paskal; wenda wewe ni mwandisi wa Habari Ila siyo mtafiti. Ata Chadema waseme kwa msajili wa vyama kua kuanzia leo tumejifuta bado CCM hawataweza kukosa upinzani. Kama Lengo la Magufuli ni kukifuta CHADEMA bila kufuta upinzani basi atakua Sawa na mtu anaetaka kwenda Kyela kwa kupitia Nairobi.

CHADEMA si jina tu inayowaunganisha watu ? nakwambia kuna watu wanafanya kazi Ikulu na Rais lakini ni wapinzani kwelikweli wa serikali.
Mkuu Ruhi, kama unaamisha upinzani wa ndani ya mioyo ya watu, then its true, upinzani hauishi, ila upinzani ninaouzungumza mimi ni upinzani rasmi wa kisiasa, tayari serikali za mitaa ni CCM, mwakani madiwani wote ni CCM, wabunge wote ni CCM, then Chadema will be reduced to nothing.

P
 
Wanaotaka Mbowe atoke Ni Wafadhili wa Chadema wa ndani na nje.Mbowe akirudi madarakani chadema itakuwa moja ya vyama maskini kuliko Chama chochote.

Matajiri na Wenye fedha wa ndani na nje wanaiaga rasmi chadema.Wana chadema mchague mawili Mbowe abaki au Wafadhili wenu waondoke
Chama hakiwezi kuachiwa mbwa wa lumumba type zenu
 
I'm afraid to say, the time to save Chadema is too little too short!, baada ya matokeo ya uchaguzi Mkuu wa 2020, Chadema will be reduced to almost nothing!.
P

Certainly. You know damn well that the reality of the next year general election is: saving CHADEMA or any credible opposition in Tanzania will be MISSION IMPOSSIBLE. Nothing CHADEMA or anyone can do. Not even if a whole year is granted them. The political deck has been set; the stage preordained. “Smart opposition players” have already started shifting to the winning side.

AND Tanzanians, in their true sense of character, will acquiesce to the massive opposition slaughter taking place before their very eyes (utasikia pambana na hali yako - achana na yasiyokuhusu; waachie wanasiasa mambo yao). We are a society with no common values, no common vision and no common interests. You die alone.

Let CHADEMA be reduced to nothing but then the pain will certainly be felt widely across all segments of the nation. Then, maybe, Tanzanians of all sorts and walks will wake up to their collective responsibility in these crucial matters.
 
Wanaotaka Mbowe atoke Ni Wafadhili wa Chadema wa ndani na nje.Mbowe akirudi madarakani chadema itakuwa moja ya vyama maskini kuliko Chama chochote.

Matajiri na Wenye fedha wa ndani na nje wanaiaga rasmi chadema.Wana chadema mchague mawili Mbowe abaki au Wafadhili wenu waondoke

Hata kama habari yako ingekuwa ya kweli, binafsi ningesema waondoke hao unaoita wafadhili.
Tunga hadithi nyingine upate jibu
 
Back
Top Bottom