Recent content by Wa Nuni

  1. W

    JamiiForums Tanzania Picha yenye kutafakarisha sana

    Aloo
  2. W

    JamiiForums Tanzania Picha kuna post kama hizi zenye kuchochea ukabila

    Mpwimbe anakosa lakin ata ivyo uchama ndo mkubwa
  3. W

    JamiiForums Tanzania Je Kati ya dalali na mwenye kiwanja nani yupo sahihi

    Dalali awezi chukua mil 40 nikiwa Naona live na mimi nilimwambia 50 huku pia mteja anashuudia kirahisi tu Hapo lazima turudi kwenye meza ya mazungumzo apate percentage kadhaa Lakini pia dalali angeangalia mazingira na muktadha mazuri wa kuipata iyo 40 siyo kirihisi ivyo
  4. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Innocent Bashungwa achukua fomu kutetea ubunge jimbo la Karagwe

    CARINA namba C c angekuja na V8 lake
  5. W

    JamiiForums Tanzania Umeme umekatika maeneo mengi ya Dar es Salaam muda huu

    Daslam apo sio kabisa Kuna joto sana bila feni kutoboa usiku mitihan Bado mbu
  6. W

    JamiiForums Tanzania USA wako mbali sana: Sahivi Tesla inatoka kiwandani ilikotengenezwa hadi nyumbani kwa Mteja bila dereva!

    Bongo ikija itagoma kutembea kwenye hizi barabara
  7. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchuuzi ( Boniface Kariuki) aliyepigwa risasi na polisi katika maandamano Nairobi athibitishwa kufariki

    Boniface Kariuki, mchuuzi aliyepigwa risasi wakati wa maandamano wiki mbili zilizopita jijini Nairobi, amefariki dunia. Msemaji wa familia, Emily Wanjira, amesema Kariuki alithibitishwa kuwa amefariki saa tisa na robo jana alasiri Taarifa za awali kutoka kwa Familia ilisema madaktari...
  8. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga waweka bango kubwa za mechi walizo wafunga Simba

  9. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Look at this: Huu ni Ujinga Hama ni Nini?

    Hahah vituko sana Kalee kamchina hako hakana hatia
  10. W

    JamiiForums Tanzania Majaliwa: Tumemkamata muingizaji Dawa amemeza Paketi 86, Serikali imemlisha Pilau na Biriani ili zishuke, na zimeshuka zote ardhini

    Aloo pesa inatafutwa.. Saivi nikiona wenye pesa zao natulia tulii
  11. W

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kumiliki silaha za moto ukoje?

    Nauza pistol njoo dm mi nitabaki na gobole langu hap nyumbani
  12. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini ni mwiko kumnyima mtu chakula?

    Njaa
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Taasisi zijifunze kwa Simba kulinda kuvuja kwa Taarifa Nyeti

    Just in🚨 Muda huu Simba wamekwenda bodi ya ligi kuchukua tiketi zao za VVIP na VIP kwa ajili ya watu wao (wageni) muhimu…..ni wazi Simba watacheza mechi ya kesho. Kama ulivyo utaratibu timu ngeni na mwenyeji huwa wanapewa tiketi za VVIP na VIP tayari Simba wamechukua mzigo wao. Kesho lazima...
Back
Top Bottom