Recent content by wa ngaranga

  1. W

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini ni pazuri ila ni hatari

    Bram a.k.a bromfontein mpaka ile casino mwisho wa mtaa,hapa wamejaa wabongo wengi sanaaaa tena wale wa hatareeee,mpaka rosebank huku hua sisalimii wala sishuki wala siongei kiswahili ikitokea nimepita huko ni kwa bahat mbaya sanaaa
  2. W

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe: "Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma" hapo ndipo tulipofika!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. W

    JamiiForums Tanzania Mada ya wanyama

    Picha kali mnoooo hii,kongole kaka
  4. W

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rubani wa Ndege iliyotekwa 1982 kushinikiza Nyerere ajiuzulu afariki dunia

    Boss wangu wa zamani, na zungu lake,very calm na usingeweza amini kama ni mtu wa matukio
  5. W

    JamiiForums Tanzania Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Mzeee hujakutana na wehu wa magazeti bado,zamaniii nilikua napenda sana racing kuna mtu tuliwekeana dau kutoka ubungo mataa kabla ya hilo daraja to mwenge 25 seconds nikabisha haiwezekani aisee nikaambiwa ingia kwenye gari saa 5 usiku racing ikaanza hatari na nusu jamaa nililia kwa kihoro cha...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Hata wao nishapiga nao stori sanaaa wanasema ikitokea ajali hatokagi mtu hata siku 1
  7. W

    JamiiForums Tanzania Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Sasa unadhan wanatembea ngapi?? Mda mwingi mshale upo kwenye 200 km/h hizi nazungumzia zile Isuzu za Mwananchi tena iyo ni mwaka 2013 na 2012 ukooo
  8. W

    JamiiForums Tanzania Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Zile gari zina madereva 2 kila gari na ni wapiga pombe na bangi,fegi sanaaa vioo vipo chini mda wote ukipanda mbele unafika unakohoa vibayaaa
  9. W

    JamiiForums Tanzania Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Niamini mimi,zilikua Isuzu pickup,gia sita spidi 240 kama hilux D4D,jamaa akikanyaga gia rotation inafika sita ndio anachange ingine,spidi yao ni hatari mnooo nimepanda zaidi ya mara 10,cha pekee zaidi jamaa wanajua kutunza mafuta aisee diesel wanaiuza inayobaki ndio wanatembelea gia namba 5 na...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Watu 9 wafariki dunia katika ajali iliyohusisha Hiace inayopeleka Magazeti Mbeya

    Zamaniii nilikua napanda gari za magazeti ya mwananchi,aiseee jamaa wanakimbiaaaaaa hakuna mfano, dar mnaondoka saa 4 au 5 usiku mbeya mnafika saa 12.30 asubuhi,saa 5 wanageuza saa 3 wapo dar saa 5 wanageuza mbeya tena
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

    Hii ikifika tuu utakula pis zote za kijanja,hiyo gari maskini hawaijui kabsaaa
  12. W

    JamiiForums Tanzania Mbeya, Ooh! My dear Mbeya!

    Pale ilomba nimenunua sanaaaaa ndonya zile na dox nimeuza sanaaaa mtumba wa kurusha mpaka soko linaungua nikaamua kubadili maisha
  13. W

    JamiiForums Tanzania Port Alfred in South Africa

    Wabongo wengi wanaishi Joberg na matajiri wa kibongo utawakuta Cape Town, ktk majiji mengine very rare to find
  14. W

    JamiiForums Tanzania Chai maharage

    Hii siyo kitambo mbona si zipo kibao tuu hapo zanzibar mpaka kesho??
Back
Top Bottom