Yaani watanzania walio wengi kwa asilimia kubwa sio waaminifu hata kidogo kwenye inshu mbali mbali mimi nakushauri wewe mloge tu awe ndondocha kila mtu akose
Kwa hiyo 1M ya kijana na 2M za wazazi zingetosha kabisa kufunga ndoa na maisha Kuendelea bila kusumbua watu. Mimi binafsi nishaacha kuchangia harusi kitambo sana kabla ya mapolisi hawajaacha kuvaa kaptula.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.