Recent content by Wa kusafu

  1. W

    Wakati UKAWA wapo ndani ya box,CCM iko nje ya box!

    vyombo vya habari wote mmehongwa na ccm badala ya kutetea taifa lenu mnatetea matumbo yenu hamna jipya!
  2. W

    Wakati UKAWA wapo ndani ya box,CCM iko nje ya box!

    vyombo vya habari wote mmehongwa na ccm badala ya kutetea taifa lenu mnatetea matumbo yenu hamna jipya!
  3. W

    M/kiti wa UVCCM K/njaro aliyehamia CHADEMA, arudi CCM

    Haya ni makubwa sasa ni kweli karudi ccm au yupo chadema!! mbona uongo umezidi kuliko ukweli.
  4. W

    Kiongozi wa chama cha siasa kufanya vitu nje ya ilani na kutotimiza ilani ni utovu wa nidhamu

    Kumsifia bosi wako si mbaya ila kupitiliza kutoa sifa ndio tatizo linanziaga hapo.:majani7:
  5. W

    Barabara zenye viwango na imara Tanzania

    Inabidi na uzuri tuuseme, ni kweli amejitahidi kufanya mambo mazuri jamani. Ila we need change more than this.
  6. W

    Barabara zenye viwango na imara Tanzania

    Hapa panazungumziwa barabara wewe unahamia kwenye afya we kweli ni Abunuasi
  7. W

    Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

    huo ni uongo uliokomaa sema lipumba kapewa njuluku na ccm ndio akakimbia, mbona alishiriki kumsafisha lowassa kwamba ni safi bali mfumo ndio mbaya eh!! wacha kutudanganya hapa. kalale kwanza ukiamka utaelewa somo.
  8. W

    Unaweza kutueleza ni kwanini unaichukia CCM?

    Mimi ni kwa jinsi walivyojitenga na wananchi wa hali ya chini na kujiona wao ni levo nyingine na siyo watz, ule umoja Nyerere aliuweka wao wameundoa kabisa... halafu kitendo cha kujipa madaraka kila siku ni wao wao, baba anampa mtoto, mtoto anamkaribisha ndugu, yaani nchi imeshakuwa na matabaka...
  9. W

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    aende tu kwa amani, aache maneno maneno:majani7:
  10. W

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    Huyu mzee apunzike tu kwa amani asitake kutuchanganya watz kwa kauli zake banaa! yeye atuachie sisi wananchi tudili na ccm wenyewe. Au aende vocation Rwanda kama Lipumba ama nene!
  11. W

    Mtaji wa kura kwa Lowassa

    Lazima kitaeleweka mwaka huu.
  12. W

    Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

    shigongo anatakiwa aangalie wananchi wa kawaida ni nini kinawaumiza na wanataka nini na yeye awe pamoja nao! kumbe anavyo jifanya kuandika hadithi za ukombozi, halafu ukombozi unakuja anaukataa ni tatizo kubwa!:heh:
  13. W

    Shigongo unajidhalilisha sana mdogo wangu

    shigongo anatakiwa aangalie wananchi wa kawaida ni nini kinawaumiza na wanataka nini na yeye awe pamoja nao! kumbe anavyo jifanya kuandika hadithi za ukombozi, halafu ukombozi unakuja anaukataa ni tatizo kubwa!:heh:
  14. W

    Shida ya maji na umeme ni kwa wanaUkawa tu au na wanaCcm?

    Hawajielewi hawa, wanavutiwa na nyimbo ccm ni namba one baaasi. na kaingia mpiga ngoma ndio kabisaaa watajitoa ufahamu.:baby:
Back
Top Bottom