Man Wid
Member
- Aug 13, 2015
- 44
- 7
Dr. Magufuli ktk hafla fulani alitoa sifa nyingi sana kwa Boss wake, nakuu "umefanya mengi sana tena mengine yapo nje ya ilani".
Kiongozi mkubwa kabisa wa chama ndio msimamizi mkuu wa ilani za chama ktk utekelezaji wake.. Sasa ukikuta kiongozi huyo nasifiwa tena na anayetegemea kuwa mrithi wake kuwa alifanya vitu nje ya ilani wakati huo ilani haijakamilika na sitegemei kwa muda uliobaki kuwa itakamilika. Sasa najiuliza:-
1. Ni dharau kwa chama chake au kuna dalili za udikteta katika kutawala wake
2.Ilani ilitengenezwa kimakosa na kama kweli kwanini isifanyiwe marekebishi na kila mwanachama ajue
3.Serikali imepewa dhamana na wananchi kutekeleza ilani sasa nje ya hapo hiyo dhamana imetoka wapi
4.Kama Magufuli akipewa dhamana na utaratibu huu anausifia si ataendelea kukiuka dhamana aliyopewa
5.Ebu wekeni na mengine mengi wanajamii maana kukosea tunaanza kidogo mpaka inakuwa mazoea
Kiongozi mkubwa kabisa wa chama ndio msimamizi mkuu wa ilani za chama ktk utekelezaji wake.. Sasa ukikuta kiongozi huyo nasifiwa tena na anayetegemea kuwa mrithi wake kuwa alifanya vitu nje ya ilani wakati huo ilani haijakamilika na sitegemei kwa muda uliobaki kuwa itakamilika. Sasa najiuliza:-
1. Ni dharau kwa chama chake au kuna dalili za udikteta katika kutawala wake
2.Ilani ilitengenezwa kimakosa na kama kweli kwanini isifanyiwe marekebishi na kila mwanachama ajue
3.Serikali imepewa dhamana na wananchi kutekeleza ilani sasa nje ya hapo hiyo dhamana imetoka wapi
4.Kama Magufuli akipewa dhamana na utaratibu huu anausifia si ataendelea kukiuka dhamana aliyopewa
5.Ebu wekeni na mengine mengi wanajamii maana kukosea tunaanza kidogo mpaka inakuwa mazoea