Mkuu mbona unafichaficha? Anaweka majeshi karibu ili yamsaidie kwenye uchaguzi 2020. Mbona kwa tundu lissu hajaonesha moyo huo??? At kwa kuwa anatamani afe???
Kwani kukanyagiwa ni tatizo ? Mwili si wake ya nini mumpangie matumizi ? Atawapa wengine kama alivyompa Peter maana mwili ni wake na hakuna wa kumpangia matumizi ya mwili wake.
Mkuu umesema kweli kabisa. Kwa jinsi makomeo anavyoendesha nchi sidhani kama hata mawaziri wake watamchagua,ila nakubaliana na wewe kwa asilimia zote,2020 maccm yataiba kura.
Unachokijua wewe ni matusi tu,nina imani kwa safari unazozifanya nchi mbalimbali kazi yako ni utingo. Maana watu hao hawana lugha za heshima kama zako. Kila anaekulea hoja badala ya kuijibu wewe unatukana kwanza.
Rwanda hakuna sehemu hata moja siyoijua,hivi tunavyozungumza nipo kahama nimetoka Rwanda. Kila kinachoendelea Rwanda nakifahamu. Iwe Tanzania , Rwanda ,Burundi ,Congo ninapajua vizuri mno. Warundi wanahangaishwa na Watusi wanaojiita sindumuja wakiongozwa na Pierre buyoya, Alexis sinduhije...
Waoneeni huruma wanyarwanda chini ya fashist Paulo kagame. Maisha wanayoishi ni ya taabu kuliko mnavyofikiri. Ukienda mara moja hata iwe kwa mwezi huwezi jua kwa undani jinsi wanavyoumia. Jaribu kumtafuta mnyarwanda hasahasa muhutu umuulize kama anafurahia kuishi chini ya dikteta Paulo usikie...
Mkuu kama unafikiri ccm inategemea kura za wananchi kushika dola jaribu kubadilisha mawazo. Waulize wazanzibari,wananchi wa wilaya ya nyamagana,kigoma kusini,mtwara vijijini,nanyamba,songea mjini,tunduma kwa uchache na maeneo mengine mengi utapata jibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.