Kuwa mwaminifu mpende mjali na zaidi kabisa simama naye wakati wa shida na raha kuwa upande wake. Hii ni zawadi kubwa sana.
Sijajua uwezo au zawadi yako ya dhamani gani. Mnunulie hereni na mkufu wa dhahabu.
Kiwanja chenye nyumba hadi rinta vyumba 4 vya kulala 2 kati ya hivyo ni masterbedroom kinauzwa. Kipo maeneo ya nanenane morogoro km 2 toka barabara kuu ya Dar moro. Kina hati kamili sqr meter 840.
Bei million 50 karibuni.
Ha nami ninacho kipo Tubuyu mbele ya nanenane ni kama km 2 toka barabara ya rami kimejengwa hadi rinta na mashimo ya choo yamejengwa madhari nzuri sana majirani wa ukweli kina hati safi kila kona imeshajengeka. Bei million 50.
Hiyo tofauti ya umri ni kubwa sana miaka 12 hapana. Ila kama huna mtoto na unapenda kuwa na mtoto au unapenda kuzaa naye sawa fanya hivyo. Kisha endelea na maisha yako huku mwanao akiwa na baba maadam kasema mwenyewe.
Ila kiungwana kuolewa naye hapana jamani. Mwache kijana wa watu apate mtu...
Haya ni maisha wapendwa kuna leo na kesho ati. Leo una hudumia familia yako 100% mke yupo kakaa akijiandaa kwa sex usiku tu. Hajishughulishi ili asichoke. Una uhakika kwamba utaishi nao kwa muda mrefu? Ukifa? Ukiugua? Ukilala kitandani miaka na mkeo ndo wa aina hiyo unafanyaje. Watoto ada...
Mimi navipenda kweli hivyo vikuku ila nasikia tafsiri yake si nzuri so naogopa kuvivaa. Ila uwe na guu lako nzuri ukiweka hiko kicheni lol unanoga sana.
Huko kubembelezana ndo unampa mtu kichwa anakungangania sababu anakuona kama unataka hutaki. Kama kweli hutaki simamia kauli yako kwa nguvu acha kuchekacheka na ndiyo maana huyo dada anajiamini hivyo. Alaa! Unambembelezea nini sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.