Kuna mahusiano yasiyo na unafiki?

Kuna mahusiano yasiyo na unafiki?

Habari members wote,

Naomba kuuliza kama kuna mahusiano ya dhati kizazi hiki. Namaanisha upendo wa kweli kwa pande zote. Mtu yupo tayari kumtetea.

Kumlinda na kusimama nafasi ya mpenzie kwa gharama yeyote. Iwe girlfriend/boyfriend, mchumba au mume/mke? Nimekuwa na mashaka kama yapo ni 1 kwa 100. Hii inasabahishwa na nini?

Naomba tujadili

Duu..yaan hii hali imesababishwa na watu kukosa utu....yako machache sana....ndo wanaofurahia kuwa pamoja....ila unafik umezid mnoooo
 
Mahusiano hayo yapo sana tu.
Na huwezi kuwa nayo kama wewe mwenyewe ni mnafiki.
 
Mahusiano hayo yapo sana tu.
Na huwezi kuwa nayo kama wewe mwenyewe ni mnafiki.

Unaweza wewe ukawa si mnafiki ila ukapata mnafiki. Mi navyoona wanafiki ni wengi zaidi sijui inasababishwa na ninii?
 
Unaweza wewe ukawa si mnafiki ila ukapata mnafiki. Mi navyoona wanafiki ni wengi zaidi sijui inasababishwa na ninii?
Wengi waweumizwa, wameumia ila kuna wakati nao wakafika mahali salama kabisa hadi wao wanajiona kua wapo salama.
Mapenzi ni imani, vinginevyo ingekua ni kuwindana tu. Ukiweka imani amini yupo pia atakaekuamini.
 
Back
Top Bottom