Halloo wanajukwaa, hope mko poa,
Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 29 na nina maisha ya kawaida nipo Arusha, natafuta mchumba atakaye kuwa mke, vigezo: awe anaishi Arusha, awe na umri kuanzia miaka 25, awe na elimu kuanzia 4 na kuendelea, awe na kazi halali yoyote, asiwe na mtoto, awe mcha...