Recent content by Vvip

  1. Vvip

    Natafuta mchumba

    Halloo wanajukwaa, hope mko poa, Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 29 na nina maisha ya kawaida nipo Arusha, natafuta mchumba atakaye kuwa mke, vigezo: awe anaishi Arusha, awe na umri kuanzia miaka 25, awe na elimu kuanzia 4 na kuendelea, awe na kazi halali yoyote, asiwe na mtoto, awe mcha...
  2. Vvip

    Naomba Kujua Bei ya Tecno W5 wadau.

    hiyo w5 lite bei ni used au ni mpya???
  3. Vvip

    Naombeni ushauri kuhusu biashara ya daladala

    Asante kaka kwa ushauri wako,ila mi nanunua toyota hiace ni used nje.
  4. Vvip

    Naombeni ushauri kuhusu biashara ya daladala

    Asante kaka nashukuru kwa ushauri mzuri umenipa nguvu zaidi ,kama vp urudi basi tuzungumze pls.
  5. Vvip

    Naombeni ushauri kuhusu biashara ya daladala

    Mawazo mazuri sana yaani niwe kama naanza kidato cha kwanza,kizuri zaidi ni hapo kwenye malengo ya muda mrefu.
  6. Vvip

    Naombeni ushauri kuhusu biashara ya daladala

    Asante kwa ushauri wako ila dereva ni mimi mwenyewe hapo vp???.
  7. Vvip

    Naombeni ushauri kuhusu biashara ya daladala

    Habari zenu ndugu zangu natumaini mko salama natumaini mko poa,naombeni mawazo yenu ktk hili nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya daladala na matamanio yangu naona yanafikia ktk lengo ss nimefikiria mengi ila nimeona nijitose tu ila dereva ni mimi mwenyewe je NITAFIKA?????,Mawazo yenu jamani.
  8. Vvip

    Ushauri: Mpenzi ananipenda ila anavuta bangi

    Vuta nae ili muende sawa
  9. Vvip

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    Daaahhh hii kitu inanikumbusha mbali sana,ila nakumbuka neno la yule dada "AKISEMA MI NAPANUA WE INGIZA"asante dada felister kwa utamu wako...siku hizi anaishi +254.
  10. Vvip

    Mshahara wangu Sh. laki 2 kwa mwezi, nimedunduliza ikafika Milioni 1; niitumieje kama mtaji?

    Hao ni kula kulala hawajui maisha kwa mtu unayejua maisha na una akili timamu huwezi kumkejeli mtu ktk mambo ya msingi.
  11. Vvip

    Mshahara wangu Sh. laki 2 kwa mwezi, nimedunduliza ikafika Milioni 1; niitumieje kama mtaji?

    Nasikitika sana pale ambapo mtu anaomba ushauri we unamkejeli si vizuri jaman maisha yanahitaji ufumbuzi kupitia mawazo ya watu,ss kama mtu unaleta utani ktk hili si vizuri jamani tujirekebishi...napenda kuwasilisha,ni USHAURI TU.
  12. Vvip

    Naombeni mawazo yenu katika hili

    Kilimo cha matikiti maji kaka sema nilighafilika ktk uandishi.
  13. Vvip

    Naombeni mawazo yenu katika hili

    Daahh ki ukweli wakat naandika mtt alikuwa ananisumbua na sikupitia uzi upya baada ya kuandika sory kaka,ila naomba nirudie tu.
  14. Vvip

    Naombeni mawazo yenu katika hili

    Habari za jioni ndugu zangu,mimi ni kijana wa kiume naishi arusha,naomba ufafanuzi juu ya kilimo cha matikiti maji,naomba kujua mfumo sahihi wa kilimo hichi,gharama zake,ardhi na hali ya hewa sahihi,aina ya mbegu,pamoja na soko la zao hili,kwa mwenye kufahamu naomba ushauri katika hili.
Back
Top Bottom