Recent content by vutakamba

  1. V

    GE2020 Baadhi ya wagombea washauriwe kusitisha kampeni, hawana jipya

    Hayo yalikuwa maneno ya Mwalimu Nyerere, muasisi wa taifa hili. Kwamba watu wakiwa na maendeleo wataleta maendeleo ya vitu. Rejea hotuba za mwalimu.
  2. V

    Jinsi ya kuja kusoma ulaya(Germany+France and some Scandinavian)

    Nimefurahi sana kwa moyo wako wa kizalendo ktk kuwaelimisha na kuwasaidia watanzania ktk dunia ya leo wapo wachache wa aina yako. Nina kijana wangu anataka kuchukua Phd in anthropology and cultural tourism au social science. Hasa Germany. Hebu nipe darasa kidogo ndugu yangu.
  3. V

    Rais kumteua na kumuapisha Jaji Mkuu ni "Kuitia Mfukoni Mahakama"

    Ki vipi?. Maana hakuna transparent process chini ya judicial commission. Hiyo independence itapatikanaje?
  4. V

    Tanzania among top 10 Places to Invest in Africa 2018

    Ngoja waje wajuzi wa uchumi wanaotuaminisha uchumi unakua kwa kasi. Lkn hatumo ktk top 10
  5. V

    Hivi huko Guangzhou hakuna TANROADS na NEMC

    Hata mimi nimekuwa najiuliza hivyo hivyo. Pengine sheria zetu ni za akiba ya barabara ni pekee ktk dunia. Juzi nilipita barabara ya morogoro. Nilitoa machozi kwa kile nilichokiona. Hakuna lugha ingine unayoweza elezea sura niliyoiona zaidi ya unyama na kukosa ubinadamu na kutokuwa na hofu ya Mungu.
  6. V

    Sekta ya mikopo nchini inapita kipindi kigumu kutokana na wakopaji wengi kushindwa kurudisha mikopo

    Ni nani wa kutuokoa na haya machungu?. Ni baba na kiongozi wa familia tuliyeweka matumaini ya kutuonyesha njia au ni nani?
  7. V

    Tanzia: Mmiliki wa hoteli ya Impala, Ngurdoto na Naura Springs Arusha afariki dunia

    . Hapana siyo Felix Mrema aliyewahi kuwa mbunge wa Arusha mjini kupitia tiketi ya Ccm. Ila ni Mrema na kwa wakazi wa Arusha, akijulikana kwa jina la umaarufu kama Mrema wa Impala hotel.
  8. V

    Nahitaji gari toleo la Land Rover 109

    Unatafuta gari ambayo ni adimu ktk soko. lazima bei itakuwa juu. Pengine si kiasi unachofikiria. Hata kwa wenzetu walioendelea kwa gari aina ya mandolin. Kwa sasa utaipata kwenye museum tu. Na bei itakuwa juu hata kushinda land Rover ya kisasa. Arusha, utapata ukitembelea minada sehemu za...
  9. V

    Waziri Ummy Mwalimu asema Wizara haina pesa kuwalipa Madaktari walioagizwa wawaajiri

    Ina maana agizo la kuwaajiri lilitolewa bila coordination ya namna pesa zitakavyopatikana za kuwalipa?.
  10. V

    Anzisha kiwanda kidogo nyumbani

    Ni mtaji wa kiasi gani kuanzisha kiwanda cha sabuni ya mche mkuu?
  11. V

    Sheli inahitajika...

    Mkoa na mji gani?
  12. V

    Vikao vya bunge hatarini kufungwa kwa kukosekana pesa

    Bunge ni chombo pekee ambacho wananchi tulitegemea ndiyo litajitoa kizungumzia kwa kupaza sauti juu ya matatizo ya maisha ya wananchi, hususani uchumi ulioanguka. Kwa kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi, hivyo wanajua shida na kero zinazowakabiri. Lkn wapi wanazungumzia na kurumbana kwa...
  13. V

    Je, Magufuli atafikisha hata asilimia 45% kwenye uchaguzi wa 2020?

    Wananchi hasa wa hali ya chini. Kivipi?
Back
Top Bottom