Asanteni wakuu. nmepata majibu. Kwa faida ya wengine ni kwamba magari yapo karibia matatu nadhani ambayo ni Mohamed classic,kimotco na nbs. Kila cku basi basi moja ndo linaenda huko.
Habari Wadau.
Nauza chumba kimoja
chenye full tiles na choo
ndani. Kodi ni 100000 kwa
mwezi nmekilipia miezi
mitatu hivyo nirudishie
200000/- ya miezi miwili, wa
nane na tisa. Ukilinilipa wiki
hii utaweza kuhamia na
kukaa bure mwez huu
mpaka utakapoanza mwez
wako wa nane.Kitanda na
godoro vyote...
Pole sana ila utapata tu. Mimi binafsi nilikua intern kampuni private fulani hvi na wakatangaza kazi nkapiga interview hadi oral lakini ckupata japo nilkua najuana na mabosi na nafasi zilikua mbili. Badae nkifanya interview kwenye shirika la umma ambalo nilikua cmjui hata mfagizi nikapata na...
Huyo jamaa anakisirani tu huyo. Watu tumeingia serikalini hatuna hata cheti tuna transcript tu sembuse hio leaving. Me cjawahi itumia hio kitu cjui hata nmeiweka wapi. Jaribu kumweka sawa.
Ukiona mdada anawaza kuhongwa ujue hajiamini na maisha yake. Hizo ni akili za kimaskini. Msichana mchakarikaj anaejiamini hasubiri kuhongwa ndo afanye maendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.