Mtandao unasumbua wakuu, kuna clip imesambaa Dr. Chizeba akiliambia bunge, bajeti iliyopita matatizo ya mita za bandari na mradi mkubwa unaoendelea wa bandari kujenga matangi ya kupokelea mafuta. Aliyenayo atupie hapa. Juhudi zinafanyika ili uploading ya clip hiyo.
Mkuu, nilikuta wanapakia kutoka kwenye tank maalum kwenda melini pale songosongo, ananunua kama oil chafu. Nikajiuliza ukodi meli kununua mabaki? Tena tukatania, huu utakuwa mchanga unaopelekwa nje. Hiyo product Inaitwa "natural gas condesate" .
What is gas condensate
Gas condensate can be...
Hii sijaelewa
Meseji ilikuwa hivi na taasisi zote zilizotajwa kwenye hiyo meseji walitumiana kuweka msisitizo.
wa kutekeleza agizo.
"ACTING MD TPA - MATUMIZI YA FLOW METER: Wizi wa mafuta umekidhiri huku matumizi ya flow meter hayapo hapo Bandarini. Ipo flow meter ya zamani nashauri ianze...
Mkuu si umeona wakati WMA wanasema mita Zina matatizo na zinatumika ndivyo sivyo, TPA waliiambia serikali mita haina tatizo lolote na haijawahi kusimama kufanya kazi.
Inaaminika yeye ni mshauri wa usahihi wa Upimaji, meseji ilipowaita wakusanyike KOJ wala yeye hakuwepo, TPA walianza kufanya service na kesho yake Waziri Mkuu akashtukiza. Haijaanza kupima ni maneno ya TPA. Natafuta Ubuyu tujue mita zinafanyaje kazi.
Mtunzaji wa mita ni TPA, anaetumia data za mita kutoza kodi ni TRA. WAMA kazi yake ni kumlinda mlaji katika matumizi ya vipimo sahihi. Yeye kazi yake ni kuhakikisha hicho kipimo hakipunji, Haki bin Haki.
Jamani mama wa Watu alitoa agizo mita zisitumike mpaka zirekebishwe. TPA hawajarekebisha. Walipoulizwa wakasema zimefungwa mnyororo. Watumishi wa serkali kibao waliitwa kwa meseji kwamba mkulu ameamua mita zianze kazi tarehe 10 Februari walikuwa pale KOJ kuitikia witoTPA, akasema anasubiri WAMA...
Tatizo TPA na TRA walikuwa wanapitisha meli hadi 13. Basi wangeijulisha serikali tatizo. Si umeona wanasema mita hazijawahi kusimama toka zianze? na TRA wanasema zinatoa strange readings" Uzima wa mita ni accuracy na si vinginevyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.