Wameanza kuogopa hawa jamaa na inawezekana baadae wakatoa details za watu. Sasa inabidi tubakie jukwaa la mapenzi na mahusiano.
INAKUAJE THREADS ZINAHUSU UCHAGUZI WANAZICHUJA SANAAA NA MWISHO WAKE HAWAZIPOST. KWA IYO SAIVI JAMII FORUM IMEKUWA PRAISE FORUM NAYO.
Kumekuwa na sintofahamu juu ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Wapo wanaosema ushindi wa Magufuli ni wa halali na wale wanaosema ni wa kuiba. Kwa kuwa nina hakika kila mmoja anaujuwa ukweli juu ya hili jambo, ili kuondoa unafiki naomba kila mmoja aitikie dua hii ili tujue ukweli.
Hii kwa wale...
Safi sana bora kinuke huko Jeshi lipelekwe lipunguzwe Zanzibar maana miaka yote munakuja kupindua meza.
Naomba dua hali iwe mbaya mikoa mingi majeshi na akari waende huko Zanzibar tumumuondoe jamaa wa MKURANGA. Na vile nasikia kuna habari nyeti katika mpaka wa Tz na Msumbiji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.