CCM ya sasa imejaa washamba kama alivyopata kusema Zitto KabweIla magufi ana misiasa ya oovyo sana.
Sema tu wabongo wana ustaraabu fulani.
Ana trigger kwa kila namna kuleta machafuko
CCM ya sasa imejaa washamba kama alivyopata kusema Zitto KabweIla magufi ana misiasa ya oovyo sana.
Sema tu wabongo wana ustaraabu fulani.
Ana trigger kwa kila namna kuleta machafuko
Tume ya ccm ya maadili sasa imejikita kuwafanyia kampeni chadema na ACT kwani adhabu zao zinazidi kuzidisha chuki kwa ccm, tuvyama kama TLP UDP na twenzao tuliopo kwenye hiyo kamati ni watumishi wa ccmKwa haya maamuzi wanawapigia campaign bila wao kujua .
Mwinyi kapeleka jwtz wa kutosha kumsaidia maana hali ni ngumu na Safari hii wananchi hawataki mambo kama ya jechaYule hata asingefanya kampeni kushinda kupo palepale
Kweli zecnecpolisimsajili mwaka huu mnakazi kwelikweli.Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemfungia mgombea Urais wa @ACTwazalendo, Seif Sharif Hamad kutofanya kampeni kwa siku tano hadi Oktoba 20, 2020.
Chama cha Demokrasia Makini kiliwasilisha malalamiko kuwa mgombea huyo ameshawishi watu wapige kura Oktoba 27.
Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemfungia mgombea Urais wa @ACTwazalendo, Seif Sharif Hamad kutofanya kampeni kwa siku tano hadi Oktoba 20, 2020.
Chama cha Demokrasia Makini kiliwasilisha malalamiko kuwa mgombea huyo ameshawishi watu wapige kura Oktoba 27.
Hizi mambo chaguzi za nyuma jamaa ni muoga bwm ndio alituletea mwanasiasa wa hovyo asiweza kujibu hoja yy in ubabe tuIla magufi ana misiasa ya oovyo sana.
Sema tu wabongo wana ustaraabu fulani.
Ana trigger kwa kila namna kuleta machafuko
Hahahahaah wambie wajaribu mkuu.Angefutwa kabisa
Kushawishi watu wakapige kura sambamba nabVikosi vya ulinzi tofauti na Utaratibu ni kunajisi zoezi zima la Uchaguzi, Anyimwe Urais kama alivyonyimwa 2015 kwa kimbelembele chake cha kujitangaza kabla ya muda
Tumia akili yako japo kidogo tu. Kwa nchi kama ZNZ yenye watu 1.0 Milioni kwa nini wapigwe kura siku 2? Wakati Tanganyika yenye watu zaidi ya 55 Milioni wanachagua siku moja.Angefutwa kabisa
Kushawishi watu wakapige kura sambamba nabVikosi vya ulinzi tofauti na Utaratibu ni kunajisi zoezi zima la Uchaguzi, Anyimwe Urais kama alivyonyimwa 2015 kwa kimbelembele chake cha kujitangaza kabla ya muda
Filimbi imepulizwa Zanzibar lakini CCM bara wameisikia na kuja kuongeza idadiZanzibar kampeni siku 1 tu inatosha!
Kessy alisema ukipiga filimbi nchi nzima inasikia.
👊👊Uoga ni aibu kubwa sana !