Mi naona sawa tu
Tushajitoa sana kutetea na kupgania aman, haki, uhuru wa nchi nyingi tukiweka pemben maslahi ya taifa letu.
Lkn cjaona manufaa yoyote tuliyoyapata hadi sasa zaid ya kulipwa mateke na nchi hzo
Malawi, kenya, afrika kusin, to mention few.
Don care!!!!
Mkuu
Hata mimi ningekuwa mod ningefuta hiyo pumba yako kama mavi ukutan yan.
Kwa sabab kama umeweza kutuongopea kuwa ukuta wa mirerani mosi kuwa upo mkoa wa Arusha
Ilhal Ukuta wa mireran upo mji mdogo wa mireran, wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara,
Na pili kutuambia kuwa ukuta huo unalindwa...
Hii mada n miongon mwa mada znazonipa mashaka juu ya uelewa wa baadhi ya jf members ima malengo yao.
Tafuta nchi ya ulaya yenye waislam wengi ukilinganisha na Urusi sanjar na uungwaj mkono wa Vladmir Vladmirovich Putin miongon mwa jamii ya kiislam Chechnia then linganisha na wale wababe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.