Habari ndugu zangu;jambo ninalotaka kufahamu hapa ni namna ya kugeuza ujuzi binafsi kua njia ya kuingizia kipato hasa pale unapo kua na ujuzi ambao umeupata kama kipaji toka kwa Mungu na uko kati ya watu ambao ujuzi huo wameupata shuleni.
Kwamfano wako watu wengi mtaani wanauwezo mkubwa wa...
Kiukweli mi sidhani kam huyo binti anampenda jamaa toka moyoni kwasababu angekua na mapenzi ya kweli lazima angeona jinsi ya kumsaidia na si kumwacha aumie kiasi hicho.
Ushauri wangu kwa huyo jamaa ni kwamba anatakiwa afikiri kwa undani na afanye maamuzi yenye busara kama mwanaume alafu kama...
Habari wana jf wenzangu.Nina wazo la kutaka kufanya biashara nchini D.R.C kama yuko mtu mwenye uzoefu naomba anisaidie kunipa mwanga ni maeneo gani yanafaa kwa biashara na nibiashara ipi hasa naweza kufanya kule nikiwa na mtaji wa wastani.
Kiukweli maisha yetu yako mikononi mwa MUNGU pekee na wala si katika mikono ya madaktari ambao nao ni wanadam kama sisi
Kama mgonjwa atatibiwa na kupona basi ni mapenzi ya Mungu na kama atafariki basi ni wakati wake umefika
Always GOD is greater than every thing.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.