Kuna ukweli fulani ,pamoja na Fanikio Simba iliyoyapta , m binafsi naona kwa wing n juhudi za wachezaji, ukitaka kujua mchango wa kocha n mdogo.angalia game zote za away vipigo vya kutosha, kwa kocha alie na skills za kutosha kazma abadili mbinu lakn umepigwa game ya kwanza tano, ya pili tano...