FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
Jiunge kabla ya kutumia huduma zao
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha.
Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu. View attachment 1252198
Pole sana mkuu, unaweza mwambie afanye kureverse muamala yeye mwnyewe pesa itarudi kwenye account yake af atatuma upya.Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha.
Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu. View attachment 1252198
Huduma za wateja ni vilaza wa hali ya juu, kuna vitu kibao nilishawauliza wakawa hawajui, nikaja kugundua mwenyewe baadaeHii mbinu voda wenyewe watakua hawaijui eeeh
Hongera sana mkuu kwa kumaliza mwaka vizuri, naamini hakuna kitakacho kupita JF
Mitandao siku hizi inavyotuingiza kwenye huduma furan pasipo kutushikilisha utashangaa imebak tsh 100Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha.
Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu. View attachment 1252198
Sawa mkuu nashukuru kwa ushauri wako kesho nitakupa mrejeshoSajiri laini mpya uhamishie hiyo vocha yote huko. Baada ya hapo uanze kuuza vocha za kurusha.
Ni rahisi sana kuuza vocha za kurusha mfano rafiki yako akikuambia anaenda dukani kununua vocha mwambie wew unazo kweny simu yako unamrushia. Na siku nyingine atakutafta na anaweza kuwaambia na wengine pia.
Kubali hasara ya kiasi flani, nenda vibanda vya mpesa wana hizo huduma za kurusha vocha na vifurishi. Mwambie wakala unaomba umuuzie hizo airtime zako mfn hapo una 98 wewe mwambie akupe kesh elfu88 then umrushie hyo 98.
Ukiendelea kuiacha humo kweny hyo lain utashangaa zinaanza kupungua bila kuzitumia. Ukiwauliza voda watakwambia UMEJIUNGA NA HUDUMA YA HADITHI/ HABARI TSH 300 KWA SIKU wakati hukuwahi kujiunga
Hauwajui Voda wewe! Wiki moja tu wataifyeka kama hawana akili nzuri, Mimi niliitupa laini yao baada ya kila nikiweka salio naambiwa halitoshi, nikiongeza halitoshi.Duh! Hiyo elfu 98 mpaka ije iishe ni leo mkuu mbaya zaidi hiyo biashara sijawahi fanya.
Na siku ukijiloga bando likiisha usipozima data wanahamia kwenye hizo 98.... Yani zitafyekwa zote.Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha.
Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu. View attachment 1252198
Mi nadhani option inaweza kua ni kwenda kwenye kibanda Cha mtu anayelusha vocha uongee nae mpange akupe cash hata ya 90,000 afu umpatie hiyo 98Niende moja kwa moja kwenye mada,
Wakuu ipo hivi kuna hela nimetumiwa hapa kiasi cha shilingi elfu tisini na nane (98,000).Lakini mtumaji aliye nitumia hiyo hela sijui kajichanganya vipi bhana badala aitume kwenye M-pesa yeye kaituma kama salio la kawaida kama mnavyo ona hapo chini kwenye picha.
Hivyo wakuu naombeni msaada wenu hii hela naitoaje umu nimewapigia vodacom wameniambia hawawezi kuirudisha kwenye M-pesa. Hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnipe ushauri wenu. View attachment 1252198
Mkuu, hiyo unamuambia aliyekutumia hiyo hela airudishe, inarudi kwenye akaunti yake kisha anatuma tena
Sio kweli,halafu kumbuka kapiga customer care kaambiwa hakuna uwezekanoTransaction yoyote inaweza kuwa reversed