Recent content by Von B

  1. V

    Godbless Lema: Nimemaliza Arusha sasa nashuka Mtwara

    Hongera sana kamanda Lema..
  2. V

    JKT na Uzalendo; Uzalendo kwa Nani?

    Baadhi ya wabunge wazee wa CCM wamekuwa wakisema bungeni eti kuondolewa kwa JKT kama ilivyokuwa zamani kumepunguza pamoja na mambo mengine UZALENDO kwa vijana na wakati mwingine wakiwalenga wabunge vijana wa CHADEMA, mimi sidhani kama kupitia kwao JKT kumewafanya wawe na uzalendo wanaousema...
  3. V

    Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

    Huyo mwanamke mpumbavu kweli..
  4. V

    Sina imani na serikali, sina imani na Kikwete

    Uhuni ni mwingi, Kikwete amekosa uzalendo, anaruhusu mambo ya kijinga yafanyike " kana kwamba" na yeye ni mjinga, inawezekana nimechelewa kusema kuwa sina imani naye au wewe umechelewa kupata taarifa kutoka kwangu kuwa huyu "jamaa" simuamini tena.By the way, nashukuru kwa ukaribisho huo.
  5. V

    Sina imani na serikali, sina imani na Kikwete

    Sina Imani na serikali ya nchi yangu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sina imani na Jakaya Kikwete, Mizengo Pinda, Shein na watendaji wote wakuu wa serikali. Sina imani kwa sababu siiamini, na siwaamini na hawaaminiki. Siwezi kuiamini kwa sababu imeshindwa kusimamia mambo ya msingi...
  6. V

    Nukuu ya Anna Makinda

    SITTA atakumbukwa sana, huyu bibie Bunge limemshinda. Mimi nadhani hastahili kuongoza taasisi nyeti kama hii. Wanadhani "kuonekana" wabunge wengi wa upinzani wanasimama kuuliza maswali na kuchangia ndiyo usawa, je hayo wanayoyachangia yanachukuliwaje na serikali, kuna sababu gani ya kuchangia...
Back
Top Bottom