Kuna mtu amesema vzr hapo juu kuwa amenufaika na MFUMO. Kutoka bila kushikwa mkono TZ labda uwe unafanya kilimo.... hao jamaa kila tenda wao atakosa kutoka na si kama hakuna kampuni zingine hapana.... wapo na wana qualify lkn huwezi shindana na Derm kwenye Tenda...
Labda utueleze mbinu...
wanakuwa na chama cha damu (CCM) na kiki (ACT)...
na mkuu kubadili mawazo sio issue what if kaona jamaa sasa ni potential...
this is so called Strategy wacha movie iendelee..
Halafu kwani hawa hawalali bungeni historia inajionyesha wanalalaga na je huyu makonda ndio wa kwanza kusema waheshimiwa wanalala bungeni? hapana ndio mana alikuwa mtulivu na mwenye kujiamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.