Recent content by vivo man

  1. V

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi: Hii ni haki kweli? Nimelipa deni, lakini bado nakataliwa mkopo

    mzee unajua kumsajilia mtu line kwa kitambulisho chako ni kosa kisheria kwa mujibu wa tcra?
  2. V

    JamiiForums Tanzania Mwalimu anatufanya tutafakari zaidi vyanzo vya fedha vya Tajiri G ,Timu Y na mwenendo mzima wa ligi N ya Nchi ya T

    sasa ukisema simba wasingeweza kulipa hiyo B1 kwa sele, je walivyo mtangaza kua atacheza simba ilikua ni kuwalagai mashabiki au? nachojua mimi simba walikua njiani kulipa hiyo hela, ila yanga wamewaovertake kwa mbele
  3. V

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa muda (Part-Timer) – Chuo cha UDOM, mwezi wa 5 sasa tunasotea malipo yetu

    tatizo chuo bado hakijapata fedha, wafanyeje sasa?.Ila inauma kwa kweli unapocheleweshewa stahiki zako. Poleni sana ndugu watumishi
  4. V

    JamiiForums Tanzania Mangungu: Mwenyekiti wa Bodi anapinga vipi Mkutano wa Wanachama wakati hatokei upande wao?

    haya ndio mambo tunayoyapenda, kwa jirani kukiwa hakukaliki
  5. V

    JamiiForums Tanzania Nimekwazwa na bandiko la Robert Mtibeli linalosema eti 'Wanaume na Wanawake wako sawa kiakili', - Siyo kweli

    tumsamehe Robert, common sense is not always common.
  6. V

    JamiiForums Tanzania Mwenye busara huchunguza kabla ya kuamini

    umesema kweli, kuna watu ni hodari wa kuyumbisha ukweli. kabla ya kuhukumu ni bora kuelewa kwanza tatizo lenyewe
  7. V

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Tunazuia maandamano kwa kuyahamasisha

    yajayo yana sikitisha, tunapoenda ni mbali, tulipotoka hatukukariri njia ili turudi. hata sijui tufanyeje
  8. V

    JamiiForums Tanzania Marekani na Iran zimeripotiwa kufikia makubaliano ya kihistoria

    bora aise maana hali ilikia ngumu hasa huku dunia ya tatu
  9. V

    JamiiForums Tanzania Vijana Wakiume mjue Ndoa lazima izingatie maslahi yako ya Kiuchumi. Ndivyo familia kubwa zinavyofanya, siyo unajioleaolea hovyohovyo

    Mwanamke akiwa na akili na akijitambua katika nafasi yake kama mke, kwangu inatosha, vingine ni ziada tu. Tukumbuke in every successful man there is a woman.
Back
Top Bottom