Ndugu zangu kuna maisha baada ya maisha haya, na kila mmoja wetu atasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu. Asilimia kubwa ya Watanzania ni wacha Mungu, ndio maana naomba sana tujibu swali hili kutoka kwenye vina vya mioyo yetu.
CCM ina watu wanaomcha Mungu na wengine ni Maaskofu Wachungaji...
Kaka yangu wewe siyo Mungu, jaribu kuweka akiba ya maneno na mtazamo, ili usijekufa na heart attack bure. Mungu anaweza kufanya lolote mahali popote na kwa mtu yeyote. Hakuna mwenye kujua kesho itatokea nini, huo mtazamo kuwa fulani hawezi kufanya hili na lile siyo sahihi. Nakuonya mapema wewe...
Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana. Warumi 12:19
Naamini kwa moyo wangu wote kwamba Mungu anaenda kukupa nafasi ya kuongoza nchi yetu ya Tanzania. Hakuna aliyejua kuwa Daudi angeweza kumwangusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.