Sio lazima aliyepigika na maisha. Wapo wanawake waaminifu sana kwa ndoa zao na wanaume waaminifu sana kwa ndoa zao katika hali zote. Hao ni wale wanaomjua Mungu. (Simaanishi wanao attend churches ama mosques). WANAOMJUA MUNGU HAWACHEPUKI. Sijawahi chepuka na ndoa yangu miaka sita sasa. Mungu...
😂😂Usijifariji.. people zinachepuka na watu wapyaaaaaa sio waliwabanjua ten yrs ago. Sasa kama mtu alidinywa kigoma na sahv anaishi ZANZIBAR unadhan atamfata wa kigoma kwa ajili ya mchezo tu??
Bikra anaweza kuwa mchepukaji kuliko ulokuta hana kizibo. Only GOD.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.