Okay, Mimi naomba unisaidie kunielekeza tu wapi nami nitapata hayo maandiko ambayo wewe umeyatumia kutujuza sisi wengine. Tafadhali sana naomba unijulishe tu ulipopata hayo maandiko yenye maovu ya My.Lowasa. Asante sana.
Hapo ndipo wapinzani wanakoseaga kila siku wenyewe wanataka kila raia ashabikie vyama vyao, hawajui kuwa demokrasia ya vyama vingi ni kuvumiliana, wewe ukikipenda chadema mwingine atakipenda cut,nccr au ccm.Watanzania wanaelewa sana kuwa kuna wapinzani na chama tawala ambacho ni ccm, name sio...
Hahahaaaa...umempatia sana aisee.... shida ya BAVICHA wamejaa chuki na choyo Sanaaaa...hivi Mama Salma angelikuwa Mama yake sijui kama angetamka Maneno kama hayo. Usichopenda wewe kufanyiwa na mtu, Basi usimfanyie mwenzako, kuna Moto jamani siku ya hukumu.
Kule chalinze atawawakilisha hata nyie wazee, na atapata tu Nafasi hiyo maana hao wapinzani hawana cha maana wanachoongea kwenye mikutano yao ya kuomba nafasi ya ubunge, Mfano chadema wanaelezea tu historia ya matukio yao, mala polisi wanatupiga sana, mala oooh... polisi wametuua sana... mala...
Hakika umeongea cha maana sana, Hawa BAVICHA shida yao wanataka kukifanya chama chao kitakatifu sanaa... wakati wanayofanya ccm na wao ndio hayo hayo kama ulivyoelezea. Siku zote wanasiasa wapo kwa manufaa yao Binafsi na Familia zao.
Mheshimiwa Werema alimaanisha yeye ni mkuu wa orodha ya Mawakili name siyo Bar kama eneo la kunywea kilevi. Siyo hivyo wewe ulivyofikilia na kutaka kupotosha watu hapa.
Mwanajeshi yupo vitani, mda wa kuwaza mapenzi anaupata wapi au haujawahi kuona mahala penye vita jinsi maisha yanavyokuwaga ya mashaka, kila nafsi inataka kutetea uhai wake!!!???
Hata mwanamke anapaswa kumuandaa Mwanaume wake, Nimependa hapo kwenye usafi wa mawigi ni kweli mda mwingine yanaletaga shida si tu kwenye tendo la ndoa, Bali hata ukikaa tu karibu na mdada ambaye anatatizo hilo ni shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.