Recent content by vitus juma

  1. V

    Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ahudhuria Ibada KKKT Kimara; hataruhusu Dar kuwa lango la Madawa

    Anachokosea au kujikanyaga ni hiki, tunataka cheti tujue chake au la
  2. V

    Ujio wa Wema CHADEMA ni drama nyingine.?

    Kuna watu wengi sana wametokea kukosoa Ujio wa Wema ndani ya CHADEMA huku baadhi pia wakimuunga mkono lakini kubwa zaidi wengine imefika hatua kuilaumu chadema kumpokea kwa mbwembwe dada yetu Wema Sepetu. Wanaoponda uamuzi huo hawampondi Wema kama Wema bali wanaponda ile nafasi yake yaani...
  3. V

    Ramani ya Tz ya chakachuliwa (ziwa nyasa)

    Lakin kwenye swala la mipaka ni zaidi ya mchoro
  4. V

    Ramani ya Tz ya chakachuliwa (ziwa nyasa)

    Unanyoosha nchi gani wakat mipaka inabomolewa
  5. V

    Ramani ya Tz ya chakachuliwa (ziwa nyasa)

    Leo nilikuwa Naangalia Ramani ya msumbiji ili kuona direction ya mji wa Maputo katika Wikipedia ndipo nikakutana na ramani nzima ya nchi ya msumbiji. Ramani hiyo imenishitua sana baada ya kuona mpaka wakimataifa wa Tanzania uko nje ya ziwa nyasa na kusomeka Lake Malawi. Hali hiyo ikanifanya...
  6. V

    My lovely country will survive

    Mwanzoni mwa miaka ya sabini idd Amin dada alianza harakati za kutoa vitisho juu ya taifa langu huru, kwabahati mbaya Nyerere alikaa kimya na hatimaye 1978 dhamira ikatimizwa. Katika Ulimwengu wa sasa njia pekee ya kuepusha vitisho baina ya nchi na nchi siyo demokrasia bali vitisho mfano...
  7. V

    Afrika ndo utamaduni wetu

    G
  8. V

    Je,bado tunahitaji kuendelea?

    Huwenda swali hilo likawa jepesi kwani jibu lake litakuwa ndiyo lakini ni nini msingi wa kuendelea? Ili mtu aendee kutoka hali furani ya chini kwenda hali ya juu iliyobora nilazima kwanza akubali mabadiliko(changes)yaliyojaa vikwazo na matatizo ya muda mfupi yenye kukatisha tamaa na kuogofya...
  9. V

    Msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane adaiwa kupotea. Mashinji asema wanaendelea na jitihada za kumtafuta

    Nimeuliza hapo kuwa kwanin serikali ya tatu isiyo rasmi (mahali pakazi) haijatoa riport na kwanin serikali kuu haijahoji serikali hii isiyo rasmi
  10. V

    Msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane adaiwa kupotea. Mashinji asema wanaendelea na jitihada za kumtafuta

    Kwa muda kidogo nimekuwa nikijaribu kujipa maswali ya kufikirisha lakini nakosa jibu naomba nanyi tushiriki pamoja ili tusiwe bendera fuata upepo wakati akili za kufikiri tunazo na zinatutosha, yanini kutumia mbongo za mwenzako wakati nawe unazo? kabla ya yote kwanza sote tuvue uchama na kuuweka...
  11. V

    Mbowe atangaza operesheni ''Kata Funua''

    Ndugu mbowe nakusihi ustishe haraka operesheni yako kisha ukae kimya ukiendelea na majikumu yako ya kisiasa mpaka pale akili zitakapotukaa vizuri . Kwasababu nchi hii tumejiwekea utaratibu mbaya wa kwamba kila haki inapokosekana basi hatuwezi kujipigania ila viongozi wa upinzani ndo...
Back
Top Bottom