Tupo imara sana kijana na tunauhakika wa kupata wajukuu. Hao wakiume ndo wanakuwa akina anko nani sijui wanakaribia vibaya. Watoto wote tuwalee kadili ya uwezo wetu na watakuwa sawa tu.
Usingeweza ila kuna hatua ungeambiwa utume hela ili kushikilia mzigo usiuzwe. Kiwango ungeambiwa milioni au uliyonayo mpaka laki wanachukua kisha wanapotea. Kuna jamaa alipigwa laki na 75 elfu.
Sasa kama mnagombana na mwisho wanalipa kuna shida? Huenda wewe unavijihela kidogo kwahiyo unataka wenzako walipe ontime wakati wanaunga unga maisha lazima wavumilie kidogo. Afu mambo ya kuzila zila kwa mwanaume hayapendezi. Rudi kwenye familia
Kuna watu wanna ridhiki ya kuku yaani asipotoka hapati kitu kwahiyo lazima akatafute ale. Sasa ukienda kuandamana asubuhi ikifika saa tano hujanywa Chai, mchana hujala na jioni je kwahiyo anaeandaamana lazima awe na uhakika wa kula aubuhakika wa kipato. Ile 29 walivunja mahoteli sio kwasababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.