Recent content by Vitalis Msungwite

  1. Vitalis Msungwite

    Wazungu wapewe maua yao na si lawama, Utumwa ulikuwepo Dunia nzima, Wao ndio walikuwa wa kwanza kuanzisha harakati za kuufuta

    Alieanzisha biashara ya utumwa ndie alieikomesha baada ya kupata faida. Moja ya sababu ya kuzuia biashara ya utumwa ilikua kulinda soko la bidhaa zake na kuuza mitambo. Mapinduzi ya viwanda ni chachu kubwa katika ukomeshaji wa biashara ya utumwa. Ukomeshaji wa biashara ya utumwa ni jambo Pana...
  2. Vitalis Msungwite

    Channel gani Azam wanaonesha tamthiliya ya Brothers?

    Ipo chini ya star times na inaoneshwa star times tu katika chanel zao ikiwemo star Swahili.
  3. Vitalis Msungwite

    Thread maalum kukumbushana michezo ya utotoni iliyosahaulika

    Kula mbakishie baba, nguruwe linasinzia, nage, rede, kuruka kamba, kujenga vijumba Kwa mchanga wakati wa mvua, nitaelezea nikitulia. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. Vitalis Msungwite

    CCM itaweza kumvua uanachama Gekul?

    Kumnyang'anya kadi mtu aliebakiza miaka miwili tu ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Akivuliwa uanachama means atavuliwa na ubunge, na akivuliwa ubunge unatakiwa uchaguzi mdogo uitishwe na uchaguzi una bajeti kubwa na mchakato mrefu hivyo aachwe amalizie kipindi kilichobaki na mwaka 2025...
  5. Vitalis Msungwite

    Derby imemalizika na Yanga ameshinda 1 bila dhidi ya Simba

    1*2 umeshinda ila correct score umechemka.
  6. Vitalis Msungwite

    Huyu ananishauri niache kazi nianze kufuga kuku

    Kuku hawachungwi na hawahitaji usimamizi wa wakati wote. Pichani ni mradi wa mwalimu ambae 10 hrs yupo shule na mradi unasonga. Ukiacha kazi utakuja kukosa hata Hela ya pumba tu. Piga vyote.
  7. Vitalis Msungwite

    Huyu ananishauri niache kazi nianze kufuga kuku

    Sio lazima uache kazi ndio ufuge kuku, waweza kuendelea na kazi huku ukifuga kuku.
  8. Vitalis Msungwite

    Huyu mwanamke anataka kuninyonya damu nife nikachomwe moto

    Hana shukrani kiasi kwamba ilitakiwa uwe umeshaachana nae kitambo. Mpaka Sasa umevumilia Sana mwezi huu usipite uwe umeshatemana nae.
  9. Vitalis Msungwite

    Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

    Mtoto anasoma mpaka form six hajawahi hata kukalipiwa au kupigwa fimbo unatarajia Nini?
  10. Vitalis Msungwite

    Usiku wa leo nimetoka kuonja ladha ya kifo. Kifo kina majuto asikwambie mtu

    Ungeandaa kwanza Kisha ubandike hii ni kuletana arosto
  11. Vitalis Msungwite

    Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa kuni surprise

    Wanawake wanagia nyingi za kujipatia kipato na misaada toka Kwa ma ex waroho. Anaweza kukuambia mumewe Hivi au vile ilmradi tu afikie malengo yake. Jamaa angejiweka mbali tangu kitambo wasingefika huko waliko Sasa.
  12. Vitalis Msungwite

    Mbona mimi huwa sigombani nae

    Umepatia kabisa, Kuna Uzi kafungua amepitia mengi Wacha apumzike na hataki Shari na mtu.
  13. Vitalis Msungwite

    Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

    Najilaumu kufuta Neno 'mpuuzi' maana huku mbele nimegundua kuwa anastahili. Kwakifupi ni Binti ambae ni mlokole lakini anamahusiano ya karibu na ma ex, wanaume wakimtongoza anamuonesha meseji jamaa za aliowakataa tu, tuhuma zinazomtafuna ni za kimahusiano na jamaa kafika mwisho badala ya kuomba...
  14. Vitalis Msungwite

    Sijawahi kuambiwa maneno yakaniuma kama aliyoniambia aliyekuwa mpenzi wangu, sitayasahau kamwe

    Kifupi Binti anatuhumiwa kuwa ni muhuni lakini anashindwa kuthibitisha Hilo . Badala yake anapeleka kimeseji kimoja Cha boya aliemkataa
Back
Top Bottom