Sasa kama mnagombana na mwisho wanalipa kuna shida? Huenda wewe unavijihela kidogo kwahiyo unataka wenzako walipe ontime wakati wanaunga unga maisha lazima wavumilie kidogo. Afu mambo ya kuzila zila kwa mwanaume hayapendezi. Rudi kwenye familia
Kuna watu wanna ridhiki ya kuku yaani asipotoka hapati kitu kwahiyo lazima akatafute ale. Sasa ukienda kuandamana asubuhi ikifika saa tano hujanywa Chai, mchana hujala na jioni je kwahiyo anaeandaamana lazima awe na uhakika wa kula aubuhakika wa kipato. Ile 29 walivunja mahoteli sio kwasababu...
Hakuna maaandamano
Hakuna maandamano nchi hii. Yale ya mwanzo yalikuwa na manufaa kwa waandamanaji maana walijipatia chakula na huduma kwa kupora ndiomaana walipata nguvu kwasababu yyaliwanufaisha. Haya ya kuzurula tu hujui unaenda wapi, kufanya nini na baada ya juandamana utakula wapi na...
Hoja namba mbili utakuwa umeandika ukiwa usingizini. Kuna maisha baada ya maandamano, mkeo na watoto wataishije ukiuharibu miundombinu au unafikiri wote tunavuta bangi na kukaa kwa Shemeji.
Utakuwa umesema shule za magari ya njano, yaani kupiga magoti tu unafungua na uzi kabisa wakati watu ttulipigishwa magoti na kuita mvua kwapamoja kwa masaa matatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.