Recent content by Vitalis Msungwite

  1. Vitalis Msungwite

    Bodaboda Tabora tunaishi kwa wasiwasi na hofu ya kuuwawa

    Haiwezi kuwa vita ya kiuchumi na wamiliki wa baiskeli zinazobeba abiria
  2. Vitalis Msungwite

    Baada ya kujitenga na mirathi ndugu zangu wamenitenga

    Sasa kama mnagombana na mwisho wanalipa kuna shida? Huenda wewe unavijihela kidogo kwahiyo unataka wenzako walipe ontime wakati wanaunga unga maisha lazima wavumilie kidogo. Afu mambo ya kuzila zila kwa mwanaume hayapendezi. Rudi kwenye familia
  3. Vitalis Msungwite

    Baada ya kujitenga na mirathi ndugu zangu wamenitenga

    Sababu za kujitoa hazina mashiko rudi haraka sana
  4. Vitalis Msungwite

    Tunakodisha mtambo

    Tunapatikana mbarali mbeya na mtambo unakufikia popote ulipo ndani ya Tanzania. Mawasiliano yameambatanishwa kwenye video.
  5. Vitalis Msungwite

    Web zinzorusha epl

    Fawanews.sc
  6. Vitalis Msungwite

    PostGE2025 Kinachovunja watu moyo wa kuandamana ni ile shuruti ya kuandamana, wengine wanaingiza pesa ndefu wakiingia kazini

    Kuna watu wanna ridhiki ya kuku yaani asipotoka hapati kitu kwahiyo lazima akatafute ale. Sasa ukienda kuandamana asubuhi ikifika saa tano hujanywa Chai, mchana hujala na jioni je kwahiyo anaeandaamana lazima awe na uhakika wa kula aubuhakika wa kipato. Ile 29 walivunja mahoteli sio kwasababu...
  7. Vitalis Msungwite

    Hii kauli ya serikali ina utata

    Hasa hasa mliopo Dar bakini ndani msitupigie kelele
  8. Vitalis Msungwite

    Maandamano ya D9-Tusidharau uwezo/nguvu za Gen-Z

    Hakuna maaandamano Hakuna maandamano nchi hii. Yale ya mwanzo yalikuwa na manufaa kwa waandamanaji maana walijipatia chakula na huduma kwa kupora ndiomaana walipata nguvu kwasababu yyaliwanufaisha. Haya ya kuzurula tu hujui unaenda wapi, kufanya nini na baada ya juandamana utakula wapi na...
  9. Vitalis Msungwite

    Wamama wafiwa wa vijana waliouawa wanasema #D9 wanaandamana na kwamba vijana wao walikuwa na sababu za msingi

    Nchi nzima ya wapi wewe sisi tunaingia shamba kulima. Familia yako ndo unaiita nchi nzima
  10. Vitalis Msungwite

    Kesho Tanzania inaenda kutoa somo duniani D9

    Hoja namba mbili utakuwa umeandika ukiwa usingizini. Kuna maisha baada ya maandamano, mkeo na watoto wataishije ukiuharibu miundombinu au unafikiri wote tunavuta bangi na kukaa kwa Shemeji.
  11. Vitalis Msungwite

    Nimenusurika Kupigwa Risasi na Polisi usiku huu

    Utakuwa umesema shule za magari ya njano, yaani kupiga magoti tu unafungua na uzi kabisa wakati watu ttulipigishwa magoti na kuita mvua kwapamoja kwa masaa matatu.
  12. Vitalis Msungwite

    Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF Kwa Mwaka 2025

    Tuendelee na mjadala wa kumfananisha mayele na kibu au umeshafika.
  13. Vitalis Msungwite

    Masikini Dogo Pateni

    Labda kama humfatilii anafanya vizuri sana tu kwenye show zake
Back
Top Bottom