Nashkuru sana wadau kwa kunipa moyo. Nilidhani ni wazo la kitoto lakin kwa moyo huu mlionipa itabidi nichangamkie fursa nimepanga kuanza na soko la wanafunzi nikisambaza angalau stationary za mavyuoni niangalie response zake kwanza.
Nahitaji msaada zaidi wadau... taarifa zaidi ya nilipofikia...
FHabari za ninyi wanaJF,
Nimekaa nikawaza kutokana na ukweli kuwa watanzania wanapenda sana utamaduni wao mnahisi itapokelewaje biashara hii ya kuandaa kadi zilizo katika lugha ya kiswahili?! Yaani muundo ule ule lakini maneno ndo ya kiswahili chetu?! Mnadhani itafaa?!
Nahitaji maoni yenu...
Hv tuanzie hapa nn sababu ya kutendwa?! Hv mwanaume anazaliwa msaliti au ni maisha ya mahusiano anayopitia ndo humfanya awe na roho ya chuki na kisasi. Pole dadangu kwa yaliokukuta jitahidi kuvumiloa ipo siku aliekuumba atajua haja ya moyo wako kwa wakat huooo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.