husseinsaid
New Member
- Mar 19, 2014
- 2
- 0
Dah smtymz lv inazngua bt uxpe nafax feeling zako kutawala maixha yako ipo utapata upendae be flexible ma frnd
Labda yametokea hayo kwako ili tuwe pamoja, hebu njoo PM tujadiliane vizuri!
Pole sana best.
Simama anza safar mpya usiumie kwa ajili yake pengine sio chaguo LA Mungu kwako
Pole mwaya. Hakuwa anakupenda kama ulivyompenda na huna sababu ya kumlaumu. Hata hivyo mlivumiliana sana. Kuwa na mtu unayempenda, yeye hakupendi na kuwa na mtu uliyeishiwa mahaba nae wakati yake bado motomoto si kazi ndogo. Endelea na maisha yako, waza ya kwako. Hayo mambo ya atakukumbuka ni kujipa moyo na kuendelea kumbeba mawazoni mwako. Wakati unasubiri yeye akukumbuke yeye anaendelea kufurahia maisha. Anaweza asikukumbuke, ohoooo.
Pole sana dada angu huyo si wako,wako yupo anakusubiri atakaekupenda mpaka utamsahau huyu mwanaume hovyo asiyejali utu,ila nakushahuri SIKU ZOTE usimpende mtu ambaye hujamchunguza kama na yeye anakupenda kwa dhati ama ni mpitanjia,matokeo yake ndio hayo,wanaume tunaojua kupenda na tumetulia tupo msipende kujumuisha wanaume wote tabia zao sawa SI KWELI, ni wewe mwenyewe ulimpenda mtu asiyesahihi kwako maana huyo unaemuona mbaya anae mwanamke anaempenda na haongei kitu kwake. Jipange upya tuliza akili sahau yote,jiheshimu fanya mambo yako mwisho wa siku UTAPATA MWANAUME SAHIHI KWAKO, hata kama umempenda mwanaume sana kuwa na subira mchunguze vizuri mpe mitihani mwisho wa siku utajua kama ni mtu sahihi ama lah! Pole sana mamie.
Pole mwayahata mimi nimetendwa kama wewe..nina uchungu na maumiv makal sana..wanasema ndege wawil wanaofanana huruka pamoja...
Nilikupenda sana Emmanuel lakini katu hukuthamini penzi langu,ulipoumwa nilikubembeleza kwa maneno matamu uone jinsi gani nakujali na kukutakia uzima,ulipokasirishwa kazini bado nlikutia moyo,maumivu yako pia niliyabeba ili kukupnguzia uzito lakini wewe hukuthamini penzi langu katu..mapenzi yako kwangu yalishuka kila siku hupigi simu hadi nipige,tunaishi Dsm hii wote lakini inapita hata miezi 3-4 hatuonani hadi nibembeleze sana,kila nilichokuomba ulidai huna ilihali ulkuwa navyo.
Miaka yako 32 ilinifanya mwanzoni nkuone nmepata kuwa utawaza familia kumbe umri so tabia...machozi yangu hukuyajali wala kunithamini,nilikupenda sana emmanuel mwezi uliopita nilikutamkia tuachane nikajua ni gia ya kukubadilisha ndo kwanza ukasema nenda ili uendelee na wanawake wengine..(wanaume wapendeni wanawake wanaoonyesha kuwapenda kwa moyo kwani mtakuja kujuta baadaye)hyu niliyempenda hakunithamini ipo siku atanikumbuka..
Nilikupenda sana Emmanuel lakini katu hukuthamini penzi langu,ulipoumwa nilikubembeleza kwa maneno matamu uone jinsi gani nakujali na kukutakia uzima,ulipokasirishwa kazini bado nlikutia moyo,maumivu yako pia niliyabeba ili kukupnguzia uzito lakini wewe hukuthamini penzi langu katu..mapenzi yako kwangu yalishuka kila siku hupigi simu hadi nipige,tunaishi Dsm hii wote lakini inapita hata miezi 3-4 hatuonani hadi nibembeleze sana,kila nilichokuomba ulidai huna ilihali ulkuwa navyo.
Miaka yako 32 ilinifanya mwanzoni nkuone nmepata kuwa utawaza familia kumbe umri so tabia...machozi yangu hukuyajali wala kunithamini,nilikupenda sana emmanuel mwezi uliopita nilikutamkia tuachane nikajua ni gia ya kukubadilisha ndo kwanza ukasema nenda ili uendelee na wanawake wengine..(wanaume wapendeni wanawake wanaoonyesha kuwapenda kwa moyo kwani mtakuja kujuta baadaye)hyu niliyempenda hakunithamini ipo siku atanikumbuka..
Pole mwaya. Hakuwa anakupenda kama ulivyompenda na huna sababu ya kumlaumu. Hata hivyo mlivumiliana sana. Kuwa na mtu unayempenda, yeye hakupendi na kuwa na mtu uliyeishiwa mahaba nae wakati yake bado motomoto si kazi ndogo. Endelea na maisha yako, waza ya kwako. Hayo mambo ya atakukumbuka ni kujipa moyo na kuendelea kumbeba mawazoni mwako. Wakati unasubiri yeye akukumbuke yeye anaendelea kufurahia maisha. Anaweza asikukumbuke, ohoooo.
View attachment 151972My dear haya ni maisha tu na huyo mwanaume wala hukuzaliwa nae, na amini kwamba huyo hakuwa wako, wako yupo njiani anakuja wakati tu haujafika wa kukutana nae siku ukikutana nae utajuta kwanini ulipoteza mda na machozi kwa mtu asiyejua thamani ya penzi lako, lakini haujapoteza mda hiyo ilikuwa ni hatua ya kupata uzoefu ili siku moja usilie kwa ajili ya mapenzi ila mapenzi ndo yatalia kwa ajili yako. Huu ndo mda wa kujipenda mwenyewe, kujithamini, kujiamini na kujitambua ili atakae kupenda atambua unajipenda mwenyewe, unajitambua, unajithamini na unajiamini.