hilo ndo tatizo lako mkuu, wewe unaumizwa na maneno ya watu ya kumuita mkulu mwizi,fisadi na majina mengine na unaacha msingi wa ripoti ya CAG ambayo yenyewe haisemi au haijazungumzia wizi Bali inazungumzia kutoonekaba kimaandishi kwa hiyo pesa,
jaman wana jf, katika hili
tusiwe vipofu na wachache wa kufikiri, binafsi sioni kama CAG kakana kile alichoandika na alichokisema wakati anahojiwa. kwa sababu zifuatazo:
swali aliloulizwa na alichokiandika au alichosema wakat anahojiwa na azam tv alikuwa halali kukataa, kwa sababu mkuu...
mi wa kwangu ana miezi 2 tu, tangu azaliwe kakaa takriban wiki tu Mafua na kikohozi kikamjia, tukaenda zahanat tukapata dawa lakin haijamsaidia, anaweza kupata nafuu siku moja tu baada ya hapo matatizo ni palepale
nakubaliana na wewe kwa kile ulichosema, lakin hapa tunaona na kujifunza kwa namna gan kama nchi na viongoz ambao tunasema making wanavyofanya mambo Vila kutumia SHERIA na taratibu zilizowekwa ili kuzuia hasara zinazopata taifa!!!
ahsante sana mkuu kwa makala nzur.
Kwa upande wangu tangia nikiwa shule ya msingi mpaka nafika sekondari, ndoto zangu kuu zilikuwa ni kuwa mwanasheria au la polisi lakin baada ya kukua na kupanuka kimawazo nilitokea kuipenda hiyo kazi.
lakin hadi sasa ninapoandika huu Uzi hakuna kazi...
inaonekana bado hats mtoto wako hajajitambua, yaan anatengwa kwa kipind chote hicho halafu hajatoa taarifa hata kwa wazazi wake!!?
inaonekana hata msamaha wenyewe hakuomba baada ya kukosea,
mi nakushaur uende tu mkayamalize, kaz ya kulea mtoto ni ngumu
sikiriza mkuu nikuambie, uwepo wake hapo ulikuwa ni rasmi kwa akili ya hao makada wa cdm xo akili zake zote zilikuwa kwa hao, kwa hiyo wasingeweza wala kuthubutu kumfotoa huyo asiyejulikana na kujaribu kufanya hivyo ni kujiingiza kwenye anga za wasiojulikana mapemaaa wakat inawezekana hawakuwa...
mkuu, pascal sio muongo ila ametumia "kajeli" katika uandish wake, ni ngumu kumuelewa kama hikupitia kidogo masuala ya fasihi au hats kufikirisha akili yako Mara tatu tatu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.