Sanasana Liverpool na Manchester City, hawa Juventus nao wapo kwenye wakati mgumu sana, team ina wazee wengi ambao hawawezi kuhimili kasi ya vijana, refer mechi vs Ajax zilivyokuwa
Alafu mabeki wao wote wazuri umri umekwenda,siku hizi wanafanya makosa mengi sana
Forward wao ni mandzukic...