Recent content by Viongozi goigoi

  1. Viongozi goigoi

    Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

    Shahidi namba moja nipo hapa, huyo mwamba akiwa form six, mimi nilikuwa form five PCB, mwamba aliitwa Matango solver,yaani maswali magumu ya hesabu ilikuwa mpelekee yeye tu, yeye hesabu alikuwa anatembea na 100%
  2. Viongozi goigoi

    Ijue historia ya mgogoro kati ya Iran na Marekani

    Sehemu ya 4 mbona sijaiona mkuu, mtiririko mzuri, mwandishi amefikisha ujumbe vizuri kwa hadhira Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Viongozi goigoi

    Petroleum Petroleum namba wanaisoma, usichague petroleum

    Jamaa ameshuka kikatili kinyama, kuna mwanangu anaisoma namba...kwa sasa anafundisha nursery hesabu za kutoa na kujumlisha
  4. Viongozi goigoi

    Uchambuzi kuhusu Tottenham Hotspur

    Habari za asubuhi wakuu Nimekaa chini kwa mda mrefu na kuamua kuichambua Tottenham ya Mauricio Potchetino kwa ufupi tu Tangu Mauricio Potchetino ameichukua hii team kumekuwa na uimara mkubwa sana, team inacheza mpira mzuri na wa kueleweka, team ina spirit nzuri sana ndani ya uwanja, kwa...
  5. Viongozi goigoi

    Je Liverpool ni bora ulaya??

    Sanasana Liverpool na Manchester City, hawa Juventus nao wapo kwenye wakati mgumu sana, team ina wazee wengi ambao hawawezi kuhimili kasi ya vijana, refer mechi vs Ajax zilivyokuwa Alafu mabeki wao wote wazuri umri umekwenda,siku hizi wanafanya makosa mengi sana Forward wao ni mandzukic...
  6. Viongozi goigoi

    Je Liverpool ni bora ulaya??

    Nafikiri hii ni moja ya weakness kubwa ya Liverpool, kikosi chao bora hakifanyiwi rotation ipasavyo hasa front three..wanahitaji attacker mwingine mwenye uwezo mkubwa, pia wanahitaji kiungo mwingine mshambuliaji, japo watakuwa na Chamberlain ambaye amepona majeraha yake Pia hawana namba mbili...
  7. Viongozi goigoi

    Je Liverpool ni bora ulaya??

    Goli la mapema liliua ubora wa mechi, lilifanya Liverpool warudi nyuma kulinda goli lao...wakati huohuo Tottenham hawakuwa uhatari wowote dakika nyingi za mchezo...actually mechi haikuwa na mvuto sana Hata fainali ya last season baada ya Salah kuumia ilikuwa mbovu, iligeuka ya upande mmoja
  8. Viongozi goigoi

    Je Liverpool ni bora ulaya??

    Jana ulikuwa ni usiku wa Ulaya ambapo Liverpool walipepetana na Tottenham ambapo Liverpool walifanikiwa kutwaa ubingwa kwa kuibamiza Tottenham magoli mawili kwa nunge, Salah katika dakika ya kwanza na sekunde 48 na Divok Origi katika dakika za lala salama, unakuwa ubingwa wa 6 katika michuano ya...
  9. Viongozi goigoi

    Mume wa mtu ananitesa

    Hizi dini zenu ndio zimetuletea habari ya mke mmoja, mababu zetu walioa wanawake zaidi ya mmoja na hapakuwa na shida yoyote...ushawahi kuona wapi mwanamke anaolewa na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja?? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Viongozi goigoi

    Mume wa mtu ananitesa

    Basi wewe na huyo mwanaume wa mtu mmeshindwa kutumia akili vizuri, nakuhakikishia kwenda kwa mwanaume huyo itakuwa chanzo cha wewe kuharibu amani ya ndoa yake...Trust me,wanaume wengi ambao wanawake zao wanachepuka ndoa zao huishia kuvunjika..hata mimi siwezi kukubali kutumbukiza mkwaju wangu...
  11. Viongozi goigoi

    Chelsea wanakwama wapi?

    Naona kweli lengo ni hilo na kalitimiza dhidi ya Manchester City Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Viongozi goigoi

    Chelsea wanakwama wapi?

    Na hili ni tatizo kubwa,kocha inabidi abadilike sana na maisha yanaweza kuwa magumu bila Eden hazard msimu ujao Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Viongozi goigoi

    Chelsea wanakwama wapi?

    Ha ha, Mwaka huu ndio napambana kupata cheti cha ukocha then mwakani nianze kujinoa mchangani Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Viongozi goigoi

    Chelsea wanakwama wapi?

    Naam pasi nyingi lakini msaada mdogo na ubaya wa pasi zinapigwa kwenye half ya Chelsea wenyewe, huku ni kupoteza mda kwa namna iliyojificha Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Viongozi goigoi

    Chelsea wanakwama wapi?

    Hii kaileta kocha mwenyewe, tusubiri maisha ya Chelsea bila Eden next time Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom